Chimbuvu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2012
- 4,401
- 2,341
nimetokea kukupenda,kama vile njiwa aangukiapo mikononi mwa mwindaji,basi ndio nami nilivyoanguka mikononi mwako.nionjeshe penzi lako sitalichezea.mimi nina hekima kama Baba V .pesa ni makaratasi,bali penzi ni kama maua,na pesa ni kama maji katika maua mazuri yaliyomea.siwezi kukudanganya na mapenzi yetu hayataishia njiani kama mbwa wafanyavyo,bali tutakuwa wote kama mchwa walivyo na ushirikiano.sema ndio uufariji moyo wangu.
andaa pesa mapema hakuna kupenda bila kutoa... aya twende PM
Last edited by a moderator: