NITIKE NDOSI
Senior Member
- Jan 15, 2013
- 153
- 86
Mambo niaje wana MMU
Mwenye majibu na hii kitu naomba anisaidie.
Nina jamaa yangu ambaye ni marafiki wa muda mrefu sana,tangia tunakua na mpaka sasa na midevu yetu.
Ni mara nyingi ananitaarifu kuwa girl friend wake ananisifia sana
eti utasikia;
''yule jamaa yako ni mpole!!!''
''hivi amewahi kugombana na watu kweli!!!''
''mimi mnapokuwa wote najisikia raha na story zake''
''atapata raha mke wake''
Sasa kitu kilichonifanya ni shituke ni pale tunapokuwa wote watatu naona concetration zake kubwa huwa kwangu
kuliko boyfriend wake.
USHAURI WENU TAFADHALI.........
Mwenye majibu na hii kitu naomba anisaidie.
Nina jamaa yangu ambaye ni marafiki wa muda mrefu sana,tangia tunakua na mpaka sasa na midevu yetu.
Ni mara nyingi ananitaarifu kuwa girl friend wake ananisifia sana
eti utasikia;
''yule jamaa yako ni mpole!!!''
''hivi amewahi kugombana na watu kweli!!!''
''mimi mnapokuwa wote najisikia raha na story zake''
''atapata raha mke wake''
Sasa kitu kilichonifanya ni shituke ni pale tunapokuwa wote watatu naona concetration zake kubwa huwa kwangu
kuliko boyfriend wake.
USHAURI WENU TAFADHALI.........