Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Kwa akili ya kawaida, anavutiwa sana na wewe labda hata kuliko huyo aliyenaye anaogopa tu kukutamkia moja kwa moja lakini picha iko wazi.
Pili, Huyo dada hajui nini cha kusema na wapi pa kukisemea.
Tatu, Usiwe karibu saaaana nae shemejio, Mpe heshima sana. cause ikitokea rumour kuwa watembea naye, itakuweka kwenye nafasi ngumu kukanusha kwa jamaa yako.
Nne. Sitisha huo mpango wako, maana hiyo background uliotoa ya urafiki wenu ni kana kwamba unataka kumuwahi lakini urafiki wenu upo at stake. hata wakiachana, jiweke pembeni na huyo binti.
Pili, Huyo dada hajui nini cha kusema na wapi pa kukisemea.
Tatu, Usiwe karibu saaaana nae shemejio, Mpe heshima sana. cause ikitokea rumour kuwa watembea naye, itakuweka kwenye nafasi ngumu kukanusha kwa jamaa yako.
Nne. Sitisha huo mpango wako, maana hiyo background uliotoa ya urafiki wenu ni kana kwamba unataka kumuwahi lakini urafiki wenu upo at stake. hata wakiachana, jiweke pembeni na huyo binti.
Sidhani kama ni jambo baya kama girlfriend wa rafiki yako akikusifia! Kama kweli sifa hizo unazo yeyote tu angekusifia ILA....
Kama unahisi(ukweli unaujua mwenyewe) kama kuna zaidi ya hizo sifa(anakutaka), na pia wewe na rafiki yako ni 'best' friends nakushauri yafuatayo;
1. Mwambie mshkaji wako kuwa girl friend wake anavyokusifia(ukijua anakutaka) haufurahii
2. Mwambie girlfriend wa mshkaji wako kuwa(kama anakutaka) haitawezekana na haujisikii vyema anavyokusifia.
Kama kweli msichana anakutaka na ukaamua kukaa kimya yafuatayo yanaweza kutokea;
1. Mshkaji ataona mienendo mibaya na atakuwa na udadisi na atahisi unamtaka girlfriend wake, mtagombana
2. Utaingia 'KING' siku moja na kufanya kitu utakachojuta maisha yako yote.
Kama msichana anakusifia kawaida tu(unaujua ukweli) mueleze kiupole kuwa si jambo zuri kukusifia sana wewe maana hata yeye angekuwa na rafiki wa kike halafu boyfriend wake(mshkaji) anamsifia sana angejisikiaje?
NAtumai nimesaidia