DEVINE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 536
- 86
- Thread starter
- #21
thus right,uko sawa kabisa.Get over it..
Ngoma si kitu kizuri kabisa. nawapa pole wanaopitia janga hili sasa.
ila kumbukeni kuna magonjwa mingine ni balaa zaidi. kitu kama Cancer
ya ngozi, au ya ini, etc ikiwa kwenye stage ya mwisho unahesabu siku za kuishi.
au kama umewahi sikia hao watoto waliiozaliwa bila ngozi . we fikiri maisha yako yote huna ngozi.
Ni challenge za maisha inategemea uko strong kiasi gani .
even tho you have to pick yourself up and move on . that's life