Lucky One
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 663
- 430
Afadhali wapo wenye experience zao hapaSio nataka unisimulie zaidi ila nakuambia hii ni chai. Navifahamu vitanda vya dabo deka mtu aliyelala juu ili amuone aliyelala chini ni lazima ajisogeze kwenye ukingo wa kitanda kisha ainame. Nashangaa wewe eti ulikuwa unashughulika na demu wako juu halafu unawaona waliolala chini....uongo wa mchana kweupe
Tungelishwa tango hv hv