Je, unaweza kaa na mpenzi wako weekend nzima ndani?

Adriel Vin

Senior Member
Jun 25, 2020
148
748
Binafsi haya mambo ya kugandana kila mahali tuko wote, ikitokea tuko ndani basi weekend nzima tupo tu tumegandana mi huwa siwezi kwakweli yani ntajikuta nadanganya kuwa naenda kuangalia mpira ili nipate some space kukaa na mwananmke muda zaidi ya masaa 12 siwezi kabisa.

Sijui wenzangu kwemu likoje hili...
 
Binafsi haya mambo ya kugandana kila mahali tuko wote, ikitokea tuko ndani basi weekend nzima tupo tu tumegandana mi huwa siwezi kwakweli yani ntajikuta nadanganya kuwa naenda kuangalia mpira ili nipate some space.....kukaa na mwananmke muda zaidi ya masaa 12 siwezi kabisa. sijui wenzangu kwemu likoje hili...
Ni kweli mkuu,,,maana Mundende au mkongo ukiisha,,,ni bora kila mtu akae kwao..

Bila mkongo gheto kitakachofata kwako ni aibu..
 
Binafsi haya mambo ya kugandana kila mahali tuko wote, ikitokea tuko ndani basi weekend nzima tupo tu tumegandana mi huwa siwezi kwakweli yani ntajikuta nadanganya kuwa naenda kuangalia mpira ili nipate some space kukaa na mwananmke muda zaidi ya masaa 12 siwezi kabisa.

Sijui wenzangu kwemu likoje hili...

Kwa joto la Dar Air condition huna feni la maana huna utapata wapi ujasiri wakujifungia stoo na Mtoto wa watu!masaa 12?
 
Binafsi haya mambo ya kugandana kila mahali tuko wote, ikitokea tuko ndani basi weekend nzima tupo tu tumegandana mi huwa siwezi kwakweli yani ntajikuta nadanganya kuwa naenda kuangalia mpira ili nipate some space kukaa na mwananmke muda zaidi ya masaa 12 siwezi kabisa.

Sijui wenzangu kwemu likoje hili...
Na yeye akitoka, kwako unaona sawa tu?
 
Kugandana sana sio poa kila mtu inabid ampe mwenzie nafasi,kuna mda pia unahitaji kubadilishana mawazo na wanaume wenzio,the same to woman,mbaya zaidi mnakaa masaa 12 yote mnadiscuss mapenzi i hate this
 
Back
Top Bottom