Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Wewe utakuwa umesoma shule ya bweni. Hilo neno polygon linanikumbusha Ifunda Tech enzi za HM Mnenuka.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Wewe utakuwa umesoma shule ya bweni. Hilo neno polygon linanikumbusha Ifunda Tech enzi za HM Mnenuka.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Tazama hapo kisha chukua hatua.
View attachment 1553356
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Namuweza sana hanishindi huyo mdogo kwanguChukua huyo wa benki, wa jeshini huwezi kumpelekesha.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
wana sura ngumu mno,
Si ndio hapo aisee, kama anawafanyia mnada sokoni vile, japo kafanya kama utani lakini ni utani wa kuwadhalilisha.Igp sirro alikuwa amewaka nini? Unawauzaje mabinti zako hivo
Hajataja bank 😀😀😀😀
Baba atakupa kesi ya kudhalilisha jeshi kupitia binti yake.Naitaka hiyo pisi white niivuruge hadi aende kusema kwa baba.
Wana pigwa vichakani 😃😃Ni wazuri na wastaraabu kimuonekano ila mengine mzee anachagiza tu wote wana watu wao ila mzee anafichwa kidogo