Kama una modem ya kizamani na simu ya kisasa, Hotspot ya simu itakula sana, kama una modem ya kisasa na simu ya kizamani basi modem itakula sana.
Kifupi bando linaenda jingi speed ikiwa kubwa.
Pia sababu modem ina adapter separate sometime inakuwa ngumu kui restrict compare na wifi ambayo hutumia adapter ya windows unaweza kuweka metered connection.