Sijakutaja lkn....mind ur business plz.Kwani vibaya
Utakuja tamani wanaume wenzio humu jf watu wanaweka avanta zisizo harisi na majina yasiyokuwa yakwaoHahaha. ..mi napenda miss bantu shekh hawa vimbaumbau labda itokee tu ila haswa napenda wale walojazwa neema za Allah.
Sio maneno yangu jamani ni shekh kipozeo
Jaribu miss chagga! Yanaota kweli. Ata kama ni makalio flat, tuvitumbua tunaumuka...
Kama ni flat screen ni flat screen tu.Mngeomba mzaliwe usukumani huku tumejaaliwa ,lekaga gete
Pole sana mtani..!ha ha usinidanganye bwana umbo langu kiuno mgongo tako vimeunganika vipo flat uniambie ghafla yataota makalio mmh hapana siamini
Nyie wenye vinasaba vya wahindi mnajitahidi kupangua gear kwa nguvu zote..!Kupenda kuhangaishana tu hapo hakuna kingine.
Inategemea kuwa na vinasaba vya wahindi sio sababu. Nadhani ni wale wasiokubaliana na jinsi walivyoumbwa.Nyie wenye vinasaba vya wahindi mnajitahidi kupandia gear kwa nguvu zote..!
ha ha usinidanganye bwana umbo langu kiuno mgongo tako vimeunganika vipo flat uniambie ghafla yataota makalio mmh hapana siamini
ni kweli mazoezi yanaongeza chura ruka kichurachura mwezi hivi uone kama chupi zote hazijabanaDuh.......
Wewe hautaki kuwa nayo kama ya Bshite miss chaggaha ha usinidanganye bwana umbo langu kiuno mgongo tako vimeunganika vipo flat uniambie ghafla yataota makalio mmh hapana siamini