zigi 01
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 295
- 155
Ya demo ya Co Mbugeeee832 KJ
Ya demo ya Co Mbugeeee832 KJ
Op ipi ww mim nilipita hapo838 KJ MARAMBA
Magessa nae alifarikiOp miaka 50 ya jkt.......824kj kanembwa ya demo...........ego coy pale......kulikuwa na private mmoja anaitwa magesa (R.I.P) hatari saaana....mwendo n wa kuchomeka.......uelekeo American village...........muda wa kwata uso kwa uso na dakanyama(R.I.P) hilo kwata la hatariiii.........tano la kutosha kutoka kwa sirmajor kitalekwa (R.I.P) maisha yalikuwa rahaaaa!!!! Hasa kwa sie tuliokuwa ma ST!!!!!
Kurutu sifa kutimia zen nnawamwaga!!!!
Apo danger coy yupo afande omaryNduta moja.
Mimi 833kjKama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Em kama kuna watu humu waliopitia JKT kuanzia op Miaka 50 ya uhuru/ya JKT op sensa na uzalendo.
Naomba mje tupige swaga kidogo kama atakuwepo aliepita 821 itapendeza zaidi.
Mimi ni op Uzalendo.
Karibuni.
Komando mpiga picha824 Kj
Waiter konyagi na Dompo tafadhari
Magesa namkumbuka huyo nasikia alishakufa(R.I.P)Apo danger coy yupo afande omary
B coy yupo magessa afu
A coy yupo dakanyama
Hatari sana
Hapo kwenye chenja sidhani kama kuna mtu atasahau tena ukute chenja kama lile la malela malela malelaaaa (kiitikolio) malelaaaa malela malela waaanguu namtafutaaa ewiiiii awaaaaaaa mwaga nyuki mwaga nyukii utasikia makruta hapo tsiiiiiiiiiiiiiiiikMimi nimepita 821 KJ kwenye OP Miaka Hamsini ya JKT.Nilikua kombania F chini ya sargeant major Abednego na O.C wetu alikua Lt Ntwa (RIP) baade Lt. Sheng'oma Wakati huo C.O alikua Major Mrosso ambae alistaafu mwaka uliofuata.
Namkumbuka private mwenye visa na vituko sana anaaitwa John a.k.a Wezele Wezele ,namkumbuka matron Manento ,namkumbuka Lt. Minzi na Mwakibinga na private mnaa wa kwata kikosi kizima anaitwa Tarimo
Moments za bustani,shamba la mahindi na mkesha pale uwanja wa damu.Mbio za cross country na mazoezi ya pori na kupiga risasi bandia kule kwenye vijiji vya raia
Kikubwa kuliko vyote nakumbuka chenja aisee
Namkumbuka afande RSM Mundeba E.B ana mikwara ni hatari
Alikuwa analipenda sana jeshi yuleMagesa namkumbuka huyo nasikia alishakufa(R.I.P)
Niamkie kijeshiService man Manyanya op miaka 50 ya JKT, Ruvu moja
Afande Ng'ombe alikua D coyDah aisee me nimepita, 823 kj msange pale tulikuwa mujibu na ilikuwa operation miaka 50 ya uhuru nilikuwa B coy na afande nae mkumbuka ni ng'ombe ilikuwa 2014
Alafu hapo utasikia..Kuruta ukiwa doja uwe na nguvu
Ukijua umedoji basi we kunywa maji kabisa
Unakumbuka mpressure pressure kule bustani.Alikuwa analipenda sana jeshi yule
Nilikuwa napiga nae sana story akiwa na trekta kule mtoni enzi hizo niko kitengo bustani
Kumbe wengi humu miaka 50 ya uhuru mmekuta namba A.F wa juzi tuu niamkieni kijeshi..Dah aisee me nimepita, 823 kj msange pale tulikuwa mujibu na ilikuwa operation miaka 50 ya uhuru nilikuwa B coy na afande nae mkumbuka ni ng'ombe ilikuwa 2014
Huyu bila shaka miaka 50op gani mkuu
Aaah kuna jamaa alikuwa hajawahi doji sixweek akawa anamwaga udenda tu tukamhurumia tukampeleka dispensary km anaumwa dokta akampa C3 jamaa alivyoonja radha ya usingiz alikuwa doja hatariUnakumbuka mpressure pressure kule bustani.