Wakubwa shikamoni kuna debate inaendelea hapa jamii Forums baina ya team mbili
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR Kaandika uzi huu
1) KATAA NDOA
2)KUBALI NDOA
Kwa upande kataa ndoa muwakilishi ROBERT HERIEL aliandika uzi huu
"Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi"
Kwa upande wa kubali ndoa ni MSHANA JR Kaandika uzi huu