Je unajua mambo haya ?😀😃😄

Je unajua mambo haya ?😀😃😄

andazi

Member
Joined
Jun 7, 2025
Posts
47
Reaction score
209
Je unajua AKILI ndiyo kiunganishi kikubwa kati ya kile

Tunachoamini (imani/Roho)

Kile tunachofikiria ( akili)

Na kile tunachofanya ( mwili)

Namna unavyofikiria huathiri maamuzi na maamuzi huunda maisha

Tambuwa akili ni kama radio inaweza kupokea mawazo mazuri na mabaya

ILa tambua mazingira ndiyo uamua akili yako ifikirie nini
Sasa wewe jifanye mista love

Uone kama hautakuwa na mawazo mengine zaidi ya ngono tu
 
Mbona kuna watu akili kama wanavuta bangi. Cc Nyani Ngabu
IMG_9037.jpeg
 
Back
Top Bottom