DIUNATION
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,586
- 1,710
Wa kihuni kwa sababu huujui.Uchaguzi wa marekani ni wa kihuni sana, iweje kura hazitangazwi? Kwanini hakuna waangalizi wa kimataifa? Marekani inawatu 400m halafu tuambiwe kura 270 tu, hata uchaguzi wa kumchagua lipumba cuf hauko hivyo.