The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,390
- 1,775
Upo sahihi zaidiMkuu ni sawa lakini mie nilielewa tofauti kidogo na wewe ni kwamba electoral college votes ni zile kura ambazo kila jimbo linapewa kutokana na wawakilishi wake mfano Dar ina majimbo kumi manake ina kura kumi Mwanza labda ina kumi na mbili manake kura kumi na mbili na hii haijali kama Dar ina wengi kuliko,Mwanza na kinachofanyika sio wawakilishi wanapiga kura huwa ni kwamba ukishinda labda Dar basi kumi zote ni zako sio wawakilishi wanapiga kura