Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Tatizo umelishwa imani ya kidini na ukaamini israel eneo lake la asili ni Mashariki ya Kati. Bila kusoma historia. JIBU maswali haya

UNO Resolution 181(II) la 1947 tarehe 29th November Tukio lililofanyika lilikuwa linahusu nini?

14th may 1948 kulitokea Tukio gani?

1950s Israel na MAREKANI kwanini walianzisha neno UGAIDI na MAGAIDI?

UKATIRI, UBAGUZI, MAUAJI , UBOMOAJI MAKAZI ,NA UKOLONI WA KUTUMIA JESHI uliofanyika Kuanzia 1948 Hadi leo
 
Mtoa mada anawasubiri watakaomjibu kwa hamu,na wamemjibu lakini ameukimbia uzi wake.

Sasa sijui anamuuliza bwana gugo huko alipo,au wapalestina wa Tandale ili wampe nondo za kuendelea kushabikia ujinga
Hakuna aliyejibu hata moja zaid ya kuleta porojo za Kidini. Welete maswali nasubiri majibu sitaki ushabiki
 
Walikataa katakata na wala wasingekubali kwakuwa walitaka kwenda kuishi kwenye asili yao
 
Mbona unaongea sana Ndugu aliyekuambia waarabu wanatuona sisi nyani ni nani. Unafikiri Uislam ni ubaguzi kama nyinyi mnavyobaguana huko makanisani. Nenda kaswali misikitini ya upanga, kariakoo na mnazi mmoja uone jinsi tunavyoishi na waarabu kama Ndugu. Kama nyinyi wazungu wanavyowaona manyani huko makanisani.. usichukulie na Uislam ni hivo hivo tembea ujione na sio kuleta chuki za kidini
 
Jibu hili swali mbona unalikimbia
Kama palestina ilikua nchi
Ntajie marais watano tu au wafalme wa palestina kabla ya mwaka 1948

Mmekua mkilalamika palestina imechukuliwa ardhi yake naomba nijibu hilo swali kama ni nchi ntajie wafalme watano wa palestina kabla ya 1948
 
Jibu maswali hapo wakuna aliyeleta chuki za kidini. Nashangaa nyinyi Wayahudi wa kwa Mtogolo mnaleta udini na ushabiki badala kujibu hoja za msingi
 
Kama palestina ilikua nchi
Ntajie marais watano tu au wafalme wa palestina kabla ya mwaka 1948

Mmekua mkilalamika palestina imechukuliwa ardhi yake naomba nijibu hilo swali kama ni nchi ntajie wafalme watano wa palestina kabla ya 1948
PALESTINE MIAKA 30s na 40s KABLA YA UVAMIZI WA FAKES JEWS
 

Attachments

  • 1700119265085.jpg
    86.8 KB · Views: 5
Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?
 
unaijua hii Tofauti Kati ya WAISRAEL ( watu weusi) na WAYAUDI ( Zionists yaani wazungu na walowezi
kutoka ulaya)???

Na hii pia unajua Historia ya Zionism movement na tabia zake???

JIBU swali usilete porojo
So that means pale pale panapogombewq sio kwa wayahudi Wala wapelestina?
 

Biblia inasema unatakiwa uangalie ndani ya mipaka yako kwanza kabla ya kujali kwingine, kwanza inasema Familia kwanza ukimaliza matatizo ya familia yako ndiyo uangalie kwa jirani, sasa nyinyi nyumbani kwenu kunawaka moto lkn kutwa nzima mnashinda kujishughulisha na matatizo yaliyo Bara lingine kabisa.

Watanzagiza wana maisha ya dhiki klk hata hao wapalestina mnaowatete humu, hivyo tuanzie kwetu kwanza mengine yote ni unafiki tu …
 
Kwanini Wanaharakati wote walioleta Uhuru barani Afrika WALIKATAA kuitambua Israel hata Mwl. Nyerere?
Ntajie wafalme wa palestina si ilikua nchi
Afrika tunalikua na machief wetu kabla hata ya wazungu kuja

Ntajie wafalme wa kipalestina waliotawala palestina mbona swali rahisi
 
So that means pale pale panapogombewq sio kwa wayahudi Wala wapelestina?
Ndio maana mnaambia msome historia. Ona sasa hata ujui Mashariki ya Kati lilikuwa linamilikiwa na nani Apo kabla ya huu mgogoro mnao ushabikia
 
Rais/mfalme wa kipindi hiki wa palestina alikua anaitwa nani
Picha uletewe pia mfalme ama raisi utajiwe. Hivi KWA akili yako unavyoona hayo majengo, airport, madarasa, misikitini, yalijengwa bila kuwepo Kiongozi wa eneo hilo. Changamsha ubongo wako sio kila kitu utafutiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…