Hizo ulizotaja ni sawa na maana moja tu,ya kusafishaPangusa
Safisha
Ondosha
Zingine munisaidie
SahihishaPangusa
Safisha
Ondosha
Zingine munisaidie
mi sijui,Haya majibu umeyatoa kwenye kamusi na alanine ina maana gan?1. Chomoa kitu kikali toka alanine
2. Chukia so susia kitu toka moyoni
3. Nyama nono, nyeupe
4. Toa maji katika chombo , au kitu, kausha
5. Aina ya nyoka mkubwa
Hapo je?