Je, Unaiamini Condom?

Je, Unaiamini Condom?

Lavan Island

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
2,378
Reaction score
2,054
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?
 
kuna kipindi nliiamini na ilinisaidia
kwa sasa siitaji tena kondom........sina matumizi nayo
 
Je ukipewa condom ukaambiwa nenda kafanye mapenzi na mtu alie athirika na UKIMWI
Utaenda?

Ninauliza hivi kwa maana wengi huwa tunatumia condom kwa kuwa tu hatuna uhakika na usalama wa mtu unae shiriki nae tendo.

Ila ki ukweli ungekuwa unajua dhahiri kuwa mtu unae enda kulala nae tayari ana ngoma hata hiyo condom ukipewa uta du kweli?


Hata nikivaa bullet proof vest siwezi kukubali mtu aijaribu mwilini mwangu.
 
HIV haipo, hata kama ipo haimbukizwi kwa ngono...mi nilishaachana na ujinga wa hizo condoms sijui!!
 
Inategemea! Kama ni Hale Berry hata ndom yenyewe naichana!
 
mungu aniepushe na hio 'hiv' situmii huo mpira, ila kama unaenda ugenini tumia!
 
Back
Top Bottom