Baab_kubwaproducts
New Member
- Oct 19, 2018
- 3
- 0
Babu Kubwa Enterprises ni kampuni inayojishughulisha na uzalishaji, utengenezaji, ufungaji na usambazaji wa vyakula, matunda na viungo.
B.K Enterprises wanakuletea Unga bora wa lishe, Unga wa mbegu za Maboga, Asali, na Unga wa Tangawizi n.k.
Je unakula lishe iliyo sahihi kwa mwili wako? Je wajua ya kwamba mwili wako unahitaji virutubisho sahihi vinavyoendana na mikiki ya shughuli zako za kila siku!
“Anza sasa kutumia chakula kama dawa, ili kuepuka kutumia dawa kama chakula huko mbeleni “
BK Enterprises, sasa wamekuletea Unga bora wa mbegu za maboga ambao una protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya Zinc, Kopa, Magnesium, Chuma , Manganese, Phosphorus
Tafiti mbalimbali zimethibitisha pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida nyingi kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa yafuatayo:-
Ugonjwa wa moyo, Huimarisha kinga ya mwili, huongeza uwezo wa macho kuona, Kinga ya kisukari, dawa bora ya usingizi, huongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha, dawa nzuri kwa matatizo ya tezi dume, zinaongeza nguvu za kiume, zinaondoa msongo wa mawazo (Stress), Huzuia mchanga kwenye kibofu cha mkojo, huimarisha afya ya mifupa, n.k
Bei ya Unga wa mbegu za maboga kwenye kopo la ujazo wa 100 Grams, bei yake ni shilingi 2500 kwa bei ya jumla na 3000 kwa bei ya rejareja.
Kwa Dar-Es-Salaam, bidhaa zetu zinapatikana Kigamboni, Upanga, na Kinyerezi au unaweza kutupata kwa nambari ya simu 0713629999
B.K Enterprises wanakuletea Unga bora wa lishe, Unga wa mbegu za Maboga, Asali, na Unga wa Tangawizi n.k.
Je unakula lishe iliyo sahihi kwa mwili wako? Je wajua ya kwamba mwili wako unahitaji virutubisho sahihi vinavyoendana na mikiki ya shughuli zako za kila siku!
“Anza sasa kutumia chakula kama dawa, ili kuepuka kutumia dawa kama chakula huko mbeleni “
BK Enterprises, sasa wamekuletea Unga bora wa mbegu za maboga ambao una protini na madini ya kutosha na ya mhimu zaidi mwilini kama madini ya Zinc, Kopa, Magnesium, Chuma , Manganese, Phosphorus
Tafiti mbalimbali zimethibitisha pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida nyingi kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa yafuatayo:-
Ugonjwa wa moyo, Huimarisha kinga ya mwili, huongeza uwezo wa macho kuona, Kinga ya kisukari, dawa bora ya usingizi, huongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha, dawa nzuri kwa matatizo ya tezi dume, zinaongeza nguvu za kiume, zinaondoa msongo wa mawazo (Stress), Huzuia mchanga kwenye kibofu cha mkojo, huimarisha afya ya mifupa, n.k
Bei ya Unga wa mbegu za maboga kwenye kopo la ujazo wa 100 Grams, bei yake ni shilingi 2500 kwa bei ya jumla na 3000 kwa bei ya rejareja.
Kwa Dar-Es-Salaam, bidhaa zetu zinapatikana Kigamboni, Upanga, na Kinyerezi au unaweza kutupata kwa nambari ya simu 0713629999