Je, unafahamu ni kwanini aliitwa Ice Cube?

Teenagers vichwa vyao sio vizuri. Wengi wao hawaibi gari ili wakauze; it’s for a joyride! Baada ya hapo wanalitelekeza anywhere.
Mbona wanatumia nguvu na wanaua kabisa. Kwasababu wanajua sheria siyo kali sana kwa teenegers. Trump ameshaonya sasa hivi anakula nao sahani moja hapo DC.
 
Ila ikija swala la uhalifu marekani Black Americans wanaongoza. DC yani machalii tu teenegers no wezi wamagari.
Kuna mahali ni manzese kule, kuna sehemu zingine wako poa tu.
Wanaendesha malori wanalipwa hela nzuri tu.
Ila ukiingia kule Chicago sekunde unapotea ICE wako kazin7⅞
¹¼i
 
Ila ikija swala la uhalifu
Juzitu mmoja kaiba kwenye supermaket camera hizo zinamuona, kafika nje anaona deal done kaambiwa weka vitu hapo chini kaanza ubishi.
Kapigwa roba polis hao wakaondoka nae.
Jana watoto wa 3 wa kiswaz wameingia dukani kuiba.wamejaza mifuko yao hao wanatoka .muuzaji kawaambia hamjalipa hivyo vitu
Aah ngoja tumpigie mama.
Mlango ukafungwa direct
Wakabaki pale vizibiti vipo vyote.
Walikuja kubebwa tu na jela ya watoto wanayo badae junenail jail.
Walikua wa3 mmoja 6-8-9 years
 
Ila ikija swala la uhalifu marekani Black Americans wanaongoza. DC yani machalii tu teenegers no wezi wamagari.
Na ujinga wao wanapeleka nyumbani,
kuna cctv siku hizi,automac lock,sasa unaiba uende wapi?
Ukitoka wako nawewe
 
Uongo huu.
 
*** life


fullstop kwishaaa
 
Dah aseeh
Umri huo wataweza kuishi gerezani?

Magereza ya watoto mwisho umri wa miaka mingapi?
 
Kina ice cube, Dr Dre, Snoop, xhibit yote majinga tu. Hayana msaada wowote kwa ummah wa Black Americans. Yani yote hopeless bure kabisa.

babukijana
vipi kina p diddy, snoopy dogg doggy, dr. Octopus, 2pac, notorious big, big punisher, fat joe, baby face, ghost face killer, burster rhymes, lil wayne, lil bow wow, lil romeo?
 
Kina ice cube, Dr Dre, Snoop, xhibit yote majinga tu. Hayana msaada wowote kwa ummah wa Black Americans. Yani yote hopeless bure kabisa.

babukijana
hao watu wanapenda kulalamika na kujipa umuhimu wakusaidiwa mda wote, ni wavivu, wao wakiamka wanashinda kwenye kona za mitaa tu idle.

Ni kama jamii ya weusi Afrika kusini, wanalalamika tu kila siku, na hawapendi wakiona weusi wenzao wamefanikiwa.
 
Yule mtoto alikua mshenz sana aliua akapigwa miaka 25 akaanza kucheka pale pale judge akamfunga 285years
 
Black Americans wana kauwendawazimu fulani kanakofanya whites wawacontrol kirahisi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…