Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Tuwaaminije hao waliondika kitabu wakati na wao ni wapinzani wa dini ya catholic?.kwanini ww unawaaamini tuanzie hapo kwanza.
Ndani ya Jesuist lilianzishwa shirika la Kukusanya na kuchabua taarifa mbalimbali/shirika la kijasusi linaloitwa Santa alleanza (holy alliance) au LeEntita. shirika hili lilianzishwa na Papa Pius V mwaka 1566 kauli mbiu yake ni Cum cruce et gradio wakiwa na maana ya "kwa upanga na msalaba", kazi yake ni kukusanya na kuchambua taarifa mbalimbali zihusuzo waumini,imani,siasa,teknolojia,karibia kila nyanja wapo. wanakila taarifa ya muumini wao kupitia usajili unaofanya wakati unabatizwa lakini pia kazi yao ya kukusanya taarifa inafanywa kwa weredi na urahisi zaidi maana wanakusanya taarifa kupitia jumuia ndogondogo za kikristo.

ikumbukwe Ignatus luyola hadi anakufa hakuwahi kua padri ila ni mapenzi yake juu ya imani ya kikaktoliki ndio ilifanya akafanya haya, alitamani kuona imani ya kikristo inakua na kua imara zaidi duniani mpaka ukamilifu wa dahari. pongezi za dhati zimwendee kwa kujitoa kwake....
 
Mkuu shida ya makanisa mengi hawasomi hawachimbui historia hawataki kujua sources mbalimbali. Catholic kwenye Theolojia wamewaacha mbali sana
 
Kama ilivyo nature kwa ma CCM kuua watu hovyo ili yabaki madarakani mambwa haya
 
Una bichwa gumu sana wewe,mimi nimesoma phrase tatu tu nikaelewa kila kitu,mkuu utakua mwana CCM wewe sio bure
 
Una bichwa gumu sana wewe,mimi nimesoma phrase tatu tu nikaelewa kila kitu,mkuu utakua mwana CCM wewe sio bure
In one word anazungumzia FATE/DESTINY.

Na fate ni ngumu sana kuibadilisha, sio sawa kuifananisha na vitu kama cookies ambazo ni AI.

BTW, tuachane na mambo ya u ccm na u cdm, nipe connection ya kuja Australia mkuu, nina the most wanted profession in the world.
 
Huu Uzi ni nzuri sana tena ila Kwa wale tu wenye kuutambua vitu vya rohoni au kufuatilia
Mimi nimeelewa tena sana
 
Jokes on you, Maana fate na destiny ni vitu tofauti.
Hawezi kukusaidia atajua ni mtego wa Serikali
 
Sijasema zina maana moja, nimemaanisha they are both dealing with Predetermined Future.[/color]
Ili tuelewane vuzuri ningependa unieleze kwa kiswahili maana ya destiny ns fate kwa unavyofahamu
 
Mkuu shida ya makanisa mengi hawasomi hawachimbui historia hawataki kujua sources mbalimbali. Catholic kwenye Theolojia wamewaacha mbali sana
Knowledge yote duniani kutoka kila pembe ipo kwenye maktaba za vatican. Rc wanajua wanachokifanya ndio maana kuacha picha ile ya yesu makanisani sio wajinga.
So hawa wazushi/protestant wakibisha na kuchukia RC wala haitusumbui
 
Mbona mhhhh! Mkuu

I don't believe in the so called bad luck ,everything happen with great reason behind it regardless of whether it pains or thrilling you what you have to do is just be positive about it.

Kwema lkn boss?
 
I don't believe in the so called bad luck ,everything happen with great reason behind it regardless of whether it pains or thrilling you what you have to do is just be positive about it.
Ok, thanks for your pitching. Let's roll.

Kama unaamini katika "Good luck" basi lazima uamini katika Bad luck, ni kama unavyoamini katika Baraka basi lazima uamini katika Laana pia Since kila kitu kipo katika mizani ya ulingano kwamba kimoja kisiwe pekeyake. Je huamini katika mambo haya niliyotaja/bolded red???

Kama unaamini kila kitu chatokea kwa sababu, basi unaamini katika uwepo wa Hatma/Destiny na Fate. Je waamini katika hivi??....

Mkuu hakuna uwepo wa Postive Perception/Thought bila Negative thought ni vitu viwili vinakua pamoja kichwani mwa mtu sema kimoja kina Manifest kwenye Consciousness ya mtu. So huwezi kusema kwamba just uwe na Postive thought bila kua na negative pia.

Since, A hero can't exist in vacuum...!!!
Kwema lkn boss?
Kwema kiongozi
Ps. I'm not a boss, just a random guy.
 


Uko sawa kabisa labda sijawasilisha point yangu vizuri ninachomaanisha ni haijalishi jambo gani limetokea nitalichukulia ktk mtazamo chanya na si kujiambia nina bahati mbaya japo najua bahati mbaya ipo.

Eti a random guy! Yu
 
Uko sawa kabisa labda sijawasilisha point yangu vizuri ninachomaanisha ni haijalishi jambo gani limetokea nitalichukulia ktk mtazamo chanya na si kujiambia nina bahati mbaya japo najua bahati mbaya ipo.
Hatua ya kwanza kufundishwa kwenye Recovery unafundishwa kwamba Define yourself by what you have, value the differences, make no apologies for what you lack. So kama kitu kipo negative just take it as it's coz bahati na bahati mbaya vyote ni vitu vilivyopo maishani mwetu. Huwezi kuacha kusema kitu kama kinakuumiza halafu useme utaangalia upande chanya. Yaani ufiwe na mzazi badala ya kulia uanze kuangalia upande chanya wa kufiwa ili usilie.. Utakua unajioikia bomo moyoni mwako
Eti a random guy! Yu
Yes, I'm just a random useless guy.
 
Define yourself by what you have, value the differences, make no apologies for what you lack. So kama kitu kipo negative just take it as it's
Chose your destiny of life how to be and choose it wisely If you can't choose other people wil choose for you.

Bora ufanye maamuzi mwenyewe masna kutokufanya maamuzi ni maamuzi mazito utakayokua umeamua. Not making decisions is a biiiiiiig decision
Uko sawa kabisa labda sijawasilisha point yangu vizuri ninachomaanisha ni haijalishi jambo gani limetokea nitalichukulia ktk mtazamo chanya na si kujiambia nina bahati mbaya japo najua bahati mbaya ipo.

Eti a random guy! Yu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…