Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,432
- 105,854
- Thread starter
- #721
Ndani ya Jesuist lilianzishwa shirika la Kukusanya na kuchabua taarifa mbalimbali/shirika la kijasusi linaloitwa Santa alleanza (holy alliance) au LeEntita. shirika hili lilianzishwa na Papa Pius V mwaka 1566 kauli mbiu yake ni Cum cruce et gradio wakiwa na maana ya "kwa upanga na msalaba", kazi yake ni kukusanya na kuchambua taarifa mbalimbali zihusuzo waumini,imani,siasa,teknolojia,karibia kila nyanja wapo. wanakila taarifa ya muumini wao kupitia usajili unaofanya wakati unabatizwa lakini pia kazi yao ya kukusanya taarifa inafanywa kwa weredi na urahisi zaidi maana wanakusanya taarifa kupitia jumuia ndogondogo za kikristo.Tuwaaminije hao waliondika kitabu wakati na wao ni wapinzani wa dini ya catholic?.kwanini ww unawaaamini tuanzie hapo kwanza.
ikumbukwe Ignatus luyola hadi anakufa hakuwahi kua padri ila ni mapenzi yake juu ya imani ya kikaktoliki ndio ilifanya akafanya haya, alitamani kuona imani ya kikristo inakua na kua imara zaidi duniani mpaka ukamilifu wa dahari. pongezi za dhati zimwendee kwa kujitoa kwake....