love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,529
- 2,896
Our destiny is to die iko wazi.Ni kweli, Lakini how about Destiny??🤔
Nimeshangaa sana hili swali kuulizwa na wewe.
Our destiny is to die iko wazi.Ni kweli, Lakini how about Destiny??🤔
Nadhani nimekosoa hahaha!Ok. Thanks for clarifying this pal.
Btw leo hujakosoa😅
Hata hapo uliposema " kama kitu kipo negative take it as it's".Define yourself by what you have, value the differences, make no apologies for what you lack. So kama kitu kipo negative just take it as it's
Chose your destiny of life how to be and choose it wisely If you can't choose other people wil choose for you.
Bora ufanye maamuzi mwenyewe masna kutokufanya maamuzi ni maamuzi mazito utakayokua umeamua. Not making decisions is a biiiiiiig decision
Cc
love life live life
Duuh!!! Ukipendacho na matamanio ni kitu sawa!?Moja ya kitu ambacho kama sijakuelewa ni pale ulipoandika kuwa futa kile ukipendacho ili natural isikuchagulie,
swali ni kwamba mfano me napenda msichana mwenye hekima, mwenye upendo wa dhati na ndio matamanio yangu, ila kila demu ninayempata anakuwa hajatulia, sasa nitawezaje kufuta matamanio yangu ya kuwa na mwanamke mwenye hekima?
hapo sijakuelewa kwenye kufuta
Duuh!!! hii dhana bado kuna wenye damu wanaikumbatia!?Kuna kitabu cha Robert schuller usema you is what you think
Tafsiri yake ni kwamba unaweza timiza ndoto zako, maana kuna fikra na kuzifanyia kazi fikra Ili ziwe halisi ni vitu viwili tofautiDuuh!!! hii dhana bado kuna wenye damu wanaikumbatia!?
Your what you think, ni dhana ilikuwepo kabla ya kujua mawazo(fikra) tuliyonayo
yanatoka wapi.
Kwa sasa mawazo yako watu wanaweza kuya-alter kulingana na hitaji lao
kwao, si ajabu kuona Ronaldo kwenye matangazo ya pepsi aliwa wa afya na furaha tele
na watu wakashawishika kunywa pepsi, badala ya mtu aliye lazwa hospital kwa kuugua
kisukari.
Tupo kwenye ulimwengu wa mind control unaweza kusema "your what you think"
wakati kunawatu wanaamua what to think!?
Mbona unapingana na ulichoandika..Tafsiri yake ni kwamba unaweza timiza ndoto zako, maana kuna fikra na kuzifanyia kazi fikra Ili ziwe halisi ni vitu viwili tofauti
Chochote ukifanyacho uanza kwenye fikraMbona unapingana na ulichoandika..
Fikra ni tofauti na kuzifanyia kazi so your what you think inahusikaje hapo?
Uko shallowUmetumia nguvu kubwa sana kuelezea kitu ambacho hakieleweki,sio kwamba hamna point, la hasha. Point zipo nyingi tuu lkn umeongelea vitu vingi kwa mpigo ambavyo havina relation.
Ungekuwa kwa daktari, angekwambia una circumferential thinking.
Unforgetable
Lakin sio kila fikra ni zinatoka kwako.Chochote ukifanyacho uanza kwenye fikra
Define yourself by what you have, value the differences, make no apologies for what you lack. So kama kitu kipo negative just take it as it's
Chose your destiny of life how to be and choose it wisely If you can't choose other people wil choose for you.
Bora ufanye maamuzi mwenyewe masna kutokufanya maamuzi ni maamuzi mazito utakayokua umeamua. Not making decisions is a biiiiiiig decision
Our destiny is to die iko wazi.
Nimeshangaa sana hili swali kuulizwa na wewe.
Nadhani nimekosoa hahaha!
Let me talk about myself.Hata hapo uliposema " kama kitu kipo negative take it as it's".
Negative kwa maana ipi!?
Sidhan kama negative side tunatakiwa kui-embrace.
Duuh!!!Let me talk about myself.
Mimi malengo yangu ni kusaidia watu katika mambo fulani fulani.
Lakini kwa uwezo wangu siwezi ila Naona naweza kuwasaidia hata kwa mawazo ndio maana hua naandika vitu humu jf kwa kutumia muda na ghalama zangu.
Je kwa mantiki hii nakua sijatimiza malengo yangu?? Hayo unayoRefer wewe?
Kati ya Communalism na capitalism unapenda ni mfumo gani ungetawala dunia??Duuh!!!
Umeshindwa kujisaidia mwenyewe unaweza kuwasadia wengine kweli!?
Napenda unachokifanya lakini lazima huo msaada uanzie kwako ndg.
If you try hard enough you will have all that you want.
Capitalism japo hamna nchi capitalism per se.Kati ya Communalism na capitalism unapenda ni mfumo gani ungetawala dunia??
Mfumo naoupenda/nilioupenda ni socialism/communist bahati mbaya umefeli/ulifeli.Kati ya Communalism na capitalism unapenda ni mfumo gani ungetawala dunia??
Karne ya leo hairuhusu ujamaa!!!Mbona sasa una fikra za kibepari ndugu