Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
View attachment 529601 Baada ya mheshimiwa Raisi kutoa msimamo wake kuhusu wanafunzi wa primary na Sekondari kupata mimba na hivyo kuachishwa masomo yao, najiuliza je Waziri Ummy Mwalimu ataachia ngazi?.
Waziri Ummy ameshasikika huko nyuma akilipigania hili suala la Watoto hawa waendelee kusoma kwa hoja kuwa watakuwa wahanga wa umasikini kuachishwa masomo.
Kikawaida katika demokrasia ukipishana mtizamo mkubwa wa kisera au kimaamuzi na bosi aliyekuteua basi unajiuzulu, Je Waziri Ummy Mwalimu naye atajiuzulu kwa sababu ya hili?
Waziri Ummy ameshasikika huko nyuma akilipigania hili suala la Watoto hawa waendelee kusoma kwa hoja kuwa watakuwa wahanga wa umasikini kuachishwa masomo.
Kikawaida katika demokrasia ukipishana mtizamo mkubwa wa kisera au kimaamuzi na bosi aliyekuteua basi unajiuzulu, Je Waziri Ummy Mwalimu naye atajiuzulu kwa sababu ya hili?