Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Je, umewahi kufikisha goli 5 na kuendelea?

Mim bado muda wa mafunzo mama kasema hadi ngosha anitolee mang'ombe 50 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kitakomaa .....utavunjika siku ukianza mafunzo Kwa vitendo ..[emoji23]
 
Kuna jamaa nilikuwa naye kwenye mahusiano, siku tumekutana game likaanza saa moja mpka saa tano kanipiga bao sita tukaagiza chakula tukala tukalala, imefika saa nane naona jamaa anapiga ukunga kama mara tatu kidogo nikimbie nikajikaza pakakucha sikumwambia kitu alitaka tena nikamnyimaa... nyie watu mtakuja kufa vibaya mpka na leo nikavunja mahusiano naye nisije tolewa magazetini mtandaon nimeua mimi masai[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom