nishadaiwaga canteen ya shule nikiwa form two,nilikaa mwezi mzima bila kukanyaga hapo na nilihama njia.
nishadaiwaga canteen ya shule nikiwa form two,nilikaa mwezi mzima bila kukanyaga hapo na nilihama njia.
Nishawahi kudaiwa sana tu........ an kwa hahkika anayeogopa madeni mara nyingi huwa anaishi maisha asiyoyatarajia........ KWANGU KAMA NADAIWA NA NIMEAHIDI KUWA NALIPA SIKU FULANI, KAMA NAONA UWEZEKANO WA KULIPA SIKU HIYO NI MDOGO.... HUWA NAMTAFUTA ANAYENIDAI KABLA YA SIKU YA AHADI NA KUTOA MAELEZO YALIYONYOOKA JUU YA KUSHINDWA KWANGU KULIPA SIKU YA AHADI............ Tatizo la walio wengi ni kutotoa taarifa ya kushindwa kulipa siku ya ahadi mapema au kabla ya siku hiyo.Je Umewahi kudaiwa?, ukapata Machungu na ukakosa Amani? Mahusiano na Mdeni yakaharibika?, Je alipokuwa anakudai na wewe huna cha kulipa ulikuwa ukijibu nini?
Kama huto jali share experience yako please.