Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,876
- 155,842
Mimi nimewahi kucheat kuanzia kwenye level ya urafiki, uchumba na ndoa. Nimekoma na nimeacha, wewe je umewahi kucheat? Ilikuwaje?
Mimi nimewahi kucheat kuanzia kwenye level ya urafiki, uchumba na ndoa. Nimekoma na nimeacha, wewe je umewahi kucheat? Ilikuwaje?
Mkuu taito ya thread yako inazengua. KU "CHAET"....Mimi nimewahi kucheat kuanzia kwenye level ya urafiki, uchumba na ndoa. Nimekoma na nimeacha, wewe je umewahi kucheat? Ilikuwaje?
Mimi nimewahi kucheat kuanzia kwenye level ya urafiki, uchumba na ndoa. Nimekoma na nimeacha, wewe je umewahi kucheat? Ilikuwaje?
Nimewahi kudanganywa.
Usinifanye ncheke.Kwani kuambiwa watoto wananunuliwa mtoni ni kudanganywa?
Msema kweli mpenzi wa Mungu. Hongera kwa kuwa mkweli dada whiteTayari ila ni kwa punyeto ya kike.
mkwe kwa sisi wazee wenzako tumeshajua jibu, ungekewa hujawahi wala usingeogopa presence ya wife wako, ha haaaaaaMkuu taito ya thread yako inazengua. KU "CHAET"....
BTT: Naogopa kusema kwa kuwa sijui kama mai waifu wngu ni member huku, na labda anaijua ID yangu.
Mkwe mbona unamwaga kuku kwenye mchele mwingi?mkwe kwa sisi wazee wenzako tumeshajua jibu, ungekewa hujawahi wala usingeogopa presence ya wife wako, ha haaaaaa
rafiki mumeo Asprin akiiona hii mimi sitakubembelezea. si umeona mwenyewe alivyoruka vihunzi? shauri yakoNdio nna mpango wa kuanza 'kuchaet' nani anataka kuchaet na mimi?? Lolest!
samahani mkwe, ila umeona post ya mkeo cacico?Mkwe mbona unamwaga kuku kwenye mchele mwingi?
Ndio nna mpango wa kuanza 'kuchaet' nani anataka kuchaet na mimi?? Lolest!