MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 12,699
- 31,509
Wasalam wana JF
Wahenga walisema: ASIYEFUNZWA NA WAZAZI WAKE ATAFUNZWA NA ULIMWENGU.
Mimi na wewe ndiyo either wale wasiofunzwa na wazazi au ndiyo walimwengu wenyewe.
Swali langu kwako, je umeshawahi timiza wajibu wako kama mlimwengu?
Mimi nimetimiza wajibu huo mara nyingi kwa slay queens wengi kwa kukataa invoices zao fikirishi
Pia niimekua na misimamo thabiti smbayo imegarimu maisha yangu na ya wengine kwaajili ya kusimamia ukweli na kufikisha ujumbe sahihi
Kazi hii ni ngumu na inataka uwe na misimamo thabiti
Japo, kila ninapotimiza wajibu wangu kama mlimwengu nina farijika na ninaamini kwamba nina waenzi wahenga.
Walimwengu kama walimwengu nawaita, mkuje
Wahenga walisema: ASIYEFUNZWA NA WAZAZI WAKE ATAFUNZWA NA ULIMWENGU.
Mimi na wewe ndiyo either wale wasiofunzwa na wazazi au ndiyo walimwengu wenyewe.
Swali langu kwako, je umeshawahi timiza wajibu wako kama mlimwengu?
Mimi nimetimiza wajibu huo mara nyingi kwa slay queens wengi kwa kukataa invoices zao fikirishi
Pia niimekua na misimamo thabiti smbayo imegarimu maisha yangu na ya wengine kwaajili ya kusimamia ukweli na kufikisha ujumbe sahihi
Kazi hii ni ngumu na inataka uwe na misimamo thabiti
Japo, kila ninapotimiza wajibu wangu kama mlimwengu nina farijika na ninaamini kwamba nina waenzi wahenga.
Walimwengu kama walimwengu nawaita, mkuje