MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
- Thread starter
- #41
MNDEE Sheria za kutangaza mtu aliepotea tena ukiambatanisha na picha zinakutaka kuweka na Taarifa ya polisi yaani RB.
Hapo nyuma iliwahi tokea kesi ya mtu kumdhalilisha rafiki yake kwenye TV kwa kumtangaza kapotea na ana matatizo ya akili.
Bila shaka hata uko kwenye VITUO vya TV waliwagomea kutoa tangazo bila RB.
Fanya hima utuwekee na hiyo RB hapa ili kutilia uzito wa kisheria bandiko lako mkuu!
Hii ndio XXXX