MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
- Thread starter
- #21
Mkuu kuna mtu ameshauri kuwa mjaribu kwenye kutangaza redioni.
Nadhani inaweza kusaidia kuharakisha kupatikana kwa ndugu yetu.
Sidhani kama gharama zitakua kubwa sana.
Pia nina imani wanaweza kusaidia kutangaza hata bure maana nao ni binadamu sio kila kitu watataka pesa.
Matangazo yameshapelekwa kwenye vyombo vya habari, TV na redio. Ahsante.