Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,858
- 7,847
Hello wadau,
Tukiwa tumebakiza siku chache kuumaliza mwaka 2019, ni wakati wa kutafakari ni kwa kiasi gani tumeweza kufikia malengo tuliyojiwekea kuyafikia mwaka huu.
Kama utapenda, shiriki kwenye hii poll kwa kuchagua kati ya option 3, kama umetimiza malengo yako kwa zaidi ya asilimia 90, chagua hapo option ya kwanza, kama hujafikisha asilimia 90, ila umevuka asilimia 50, chagua option ya pili, kama ni chini ya asilimia 50, chagua option ya tatu ya bora uhai.
Mimi nimeanza kwa kuchagua option ya bora uhai, kwa sababu nimeweza kukamilisha asilimia 40 tu ya yale niliyojiwekea kuyakamilisha mwaka huu, hivyo mwaka huu nimekua mzembe sana. Nina kazi kubwa mwakani, ya kufukia mashimo ya mwaka huu, na kufikia pia malengo ya mwakani panapo majaliwa.
Tukiwa tumebakiza siku chache kuumaliza mwaka 2019, ni wakati wa kutafakari ni kwa kiasi gani tumeweza kufikia malengo tuliyojiwekea kuyafikia mwaka huu.
Kama utapenda, shiriki kwenye hii poll kwa kuchagua kati ya option 3, kama umetimiza malengo yako kwa zaidi ya asilimia 90, chagua hapo option ya kwanza, kama hujafikisha asilimia 90, ila umevuka asilimia 50, chagua option ya pili, kama ni chini ya asilimia 50, chagua option ya tatu ya bora uhai.
Mimi nimeanza kwa kuchagua option ya bora uhai, kwa sababu nimeweza kukamilisha asilimia 40 tu ya yale niliyojiwekea kuyakamilisha mwaka huu, hivyo mwaka huu nimekua mzembe sana. Nina kazi kubwa mwakani, ya kufukia mashimo ya mwaka huu, na kufikia pia malengo ya mwakani panapo majaliwa.