Dx and Rx
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,303
- 3,085
Heri ya sikukuu kwa familia nzima ya JamiiForums.
Turejee kichwa cha uzi hapo juu.
Nina imani wengi wetu huwa tunajiwekea Malengo ifikapo mwanzo wa mwaka ili tuweze kuyatekeleza na kufika hatua ya mafanikio tunayoitaka.
Mbali na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika safari ya kutekeleza malengo uliyojiwekea, umeweza kuyatimiza kwa kiasi gani, je umebaini vikwazo vilivyokukwamisha na kuwa tayari kubadili mbinu ya kukabiliana navyo au umebuni njia nyingine ya kupita?
Najua ndugu zangu wa kwenda kuhesabiwa kule lazima wakanadi hatua walizopiga ndani ya mwaka husika na kupeana moyo na mbinu mpya za kukabiliana na mwaka unaofuata.
Hapa JF pia tunaweza kushirikishana mbinu, changamoto na vikwazo vilivyotukuta ili tuweze kuingia vyema kwenye mapambano ya mwaka unaokuja.
Karibuni!
Turejee kichwa cha uzi hapo juu.
Nina imani wengi wetu huwa tunajiwekea Malengo ifikapo mwanzo wa mwaka ili tuweze kuyatekeleza na kufika hatua ya mafanikio tunayoitaka.
Mbali na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika safari ya kutekeleza malengo uliyojiwekea, umeweza kuyatimiza kwa kiasi gani, je umebaini vikwazo vilivyokukwamisha na kuwa tayari kubadili mbinu ya kukabiliana navyo au umebuni njia nyingine ya kupita?
Najua ndugu zangu wa kwenda kuhesabiwa kule lazima wakanadi hatua walizopiga ndani ya mwaka husika na kupeana moyo na mbinu mpya za kukabiliana na mwaka unaofuata.
Hapa JF pia tunaweza kushirikishana mbinu, changamoto na vikwazo vilivyotukuta ili tuweze kuingia vyema kwenye mapambano ya mwaka unaokuja.
Karibuni!