Je ulitokaje kwenye kifungo cha kichawi/kishirikina?

Kaombewe kanisani...kwa jina la YESU KRISTO aliye hai utapona...

Ila uwe na Imani...

Kama huna Imani na YESU unaweza ukawa umeenda kutembea...

Nakumbuka nililogwa nikawa naumwa na kitu hicho ktk kifua...

Kunawakati vitu vilikuwa vinatembea tumboni vinakuja shingoni...

Nipona kwa kuombewa NGOMENI kwa Kuhani Musa...nilipona kwa jina la YESU.

Sikulazimishi ila nenda au sikiliza ibada za Kuhani Musa
Huyu nimemsikia sana sifa zake....nitafuatilia
 
1. Kwa imani yako wewe( kwa mimi ni mkristo namwamini Yesu Kristo) anza kumtafuta kweli kweli. Soma neno la Mungu na uliweke kwenye matendo haswa, naamanisha haswa ukimtafuta Mungu kweli kweli anaonekana ila upambane
2. Kuna masomo huwa anatoaga hapa ndugu @mshanajr haswa somo la chumvi litafute lisome na ulifanyie kazi utafanikiwa kwa asilimia kubwa.
3. Embu mtafute @mshanajr na kina.mdada mmoja anajua sana mambo ya dini sijui heaven sent au yule bibi wa kiislamu watakushauri vyema
Mshana Jr naomba msaa`da wako wa ushauri
 
Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
 
Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
Mtafute Yesu kwa bidii zote utakuwa salama mkuu,kuombewa unaweza kuombewa sana tu lakini kama hujasimama vizuri kiroho huwezi kuchomoka...
 
mchaw utumia mazngira yanayokuzunguka kukuloga na kukuarbia future yako kama n mnywaj wa pombe lazma atatumia bar au vlabu vya karbu kukulogea mpka wakuokote mtaron vivyo hivyo kielim hata kiuchumi njia moja yapo ya kwanza ya kumwekwepa mchaw n kukaa nae mbal mana mchaw n mtu mwenye wivu sana utampa elfu 10 hiyo hiyo ataitumia kwenda kukuangamiza nayo kiuchumi kwa kuifanyia makafara yao kwa kile wanachoita unajifanya una hela sana ngoja tukuonyeshe kama unaweza ukaondoka mazngira hayo potea kabisa hata kwa miaka 5 kaanze maisha yako mapya usfanye show off ya mitandaon wala nn hakiksha hawajui lolote kuhus ww zaid ya kujua flan n mzima tu usishirik sherehe wala misba isio ya lazma kijijin kwenu kwan hapo ndio ua lango kuu la kukukandamizia Nna meng ya kukuelezea kwasababu mm pia n mhanga wa hilo na nmelmudu kwa garama kubwa sana japo bado sijion katika ile hali yangu ya kwanza lakn n bora sasa kulko apo katikati nlvyokua sema mm sio mwandsh mzur nngekupa hints kbao za kukuvusha

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
WACHAWI NYOKOW
 
Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
MKUU HII HALI INAKERA SANA
 
Mungu akuongoze kwa kweli.
Nikisema sijui ushirikina kuwa upo itakuwa ni swaga Tu mkuu, ushirikina upo na unafanya kazi
 
Huwezi toka Ndugu yangu! Nakuhakikishia,Kama Hujaarhirika moja kwa moja Achana nao tu( Ishi nao tu).
.Wachawi hawajawahi kishindwa vita sababu kuu wana Ushirikiano kuliko Waganga na kama Mara nyingi wanasumbua watu wenye mafanikio ili wawafilisi( Roho mbaya).
.Mwisho nikwambie Hakuna mganga Ambae sio Mchawi,Utanikumbuka Ukishafilisika!!
Mchawi ni dhaifu dhaifu dhaifu na mwoga kuliko makundi yote ya waovu Duniani. Si lolote si chochote. Anategemea weakness na woga wako tuu ili kufanikisha mission zake. Nasema Mchawi ni mpuuzi wa mwisho asiye na power yeyote.. Zaidi tuu ni kuwaendekeza. Ni kama tuu nyoka asiye na sumu au meno alivyo na mabaka mabaka na mbwembwe za kumtishia adui kwa lengo la kujihami tuu laki is ukimsogelea zaidi anakimbia. Ushirikina ni upuuzi fulani tuu unaoendekezwa na jamii za waoga.
 
Hapa unazungumzia ulokole...ambao asilimia kubwa ni unafiki..na mimi sitaki kumkwaza Mungu kwa huo unafiki
Kwahiyo ukitafuta uchawi ndio utampendeza Mungu? Hapa nahisi unasumbuliwa pia na fikra zako mwenyewe zinakupoteza,.. Kama hautabadili attitude yako ni ngumu sana kufanikiwa kutoka kwenye hicho kifungo..
 
Huwezi toka Ndugu yangu! Nakuhakikishia,Kama Hujaarhirika moja kwa moja Achana nao tu( Ishi nao tu).
.Wachawi hawajawahi kishindwa vita sababu kuu wana Ushirikiano kuliko Waganga na kama Mara nyingi wanasumbua watu wenye mafanikio ili wawafilisi( Roho mbaya).
.Mwisho nikwambie Hakuna mganga Ambae sio Mchawi,Utanikumbuka Ukishafilisika!!
Vingi tu wanashindwa, wangekuwa wanaweza KILA kitu wangefanya uharibifu mkubwa Sana
 
Ulimwengu wa roho ni mpana sana, yaani Mungu atusaidie maana lengo la wachawi na waganga lengo lao ni kuharibu future ya kizazi hata Ukoo wote. Fanya maombi bila kuchoka, pia uache dhambi za kisiri Siri, zile ambazo unafikiri hakuna mtu anaekuona mfano wivu,kibri,tamaa, hasira,kusengenya nk.....
 
Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
Kumvisha tairi ndiyo nzuri,piga moto
 
Nasikia Kuhani Musa wa pale Temboni anaweza kukuondolea hayo mabalaa na kisha akayaboresha akayarudisha kwa aliyekuloga yakiwa na nguvu mara dufu.

Ni wewe tu unaamua adui afe ama ateseke tu.
Mpo wengi mnaompigia debe!
 
Dawa yake na wewe anza kufanya ushirikina wa kujilinda. Mnuwie maneno tumia mawe ya chumvi. Mchape bakora kwa maneno. Maneno yana nguvu sana. Toa chuki yako kwake ingia nae mapambano ya kiroho huku ukiwa na amani.
 
Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
Wanatesa sana hawa washenzi . Kwa mtu ambaye hayajamkuta hawezi kuelewa tunaongelea nini. Tunashukuru sisi tumeshamjua mtesi wetu sasa tunajipanga kufanya kitu
 
Back
Top Bottom