ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,235
- 2,124
- Thread starter
- #21
maombi ya kawaida tu?.....nimeambiwa mhusika yuko level za juu sana za uchawiFanya Maombi/dua
maombi ya kawaida tu?.....nimeambiwa mhusika yuko level za juu sana za uchawiFanya Maombi/dua
Huyu nimemsikia sana sifa zake....nitafuatiliaKaombewe kanisani...kwa jina la YESU KRISTO aliye hai utapona...
Ila uwe na Imani...
Kama huna Imani na YESU unaweza ukawa umeenda kutembea...
Nakumbuka nililogwa nikawa naumwa na kitu hicho ktk kifua...
Kunawakati vitu vilikuwa vinatembea tumboni vinakuja shingoni...
Nipona kwa kuombewa NGOMENI kwa Kuhani Musa...nilipona kwa jina la YESU.
Sikulazimishi ila nenda au sikiliza ibada za Kuhani Musa
Mshana Jr naomba msaa`da wako wa ushauri1. Kwa imani yako wewe( kwa mimi ni mkristo namwamini Yesu Kristo) anza kumtafuta kweli kweli. Soma neno la Mungu na uliweke kwenye matendo haswa, naamanisha haswa ukimtafuta Mungu kweli kweli anaonekana ila upambane
2. Kuna masomo huwa anatoaga hapa ndugu @mshanajr haswa somo la chumvi litafute lisome na ulifanyie kazi utafanikiwa kwa asilimia kubwa.
3. Embu mtafute @mshanajr na kina.mdada mmoja anajua sana mambo ya dini sijui heaven sent au yule bibi wa kiislamu watakushauri vyema
siyo walokole wote ni wabaya.....ila huwa nashangaa sana kwa hao wachache ninao wajuaUdhaifu wa mtu au watu haumaanishi kwamba walokole wote ni wabaya.
Mtafute Yesu kwa bidii zote utakuwa salama mkuu,kuombewa unaweza kuombewa sana tu lakini kama hujasimama vizuri kiroho huwezi kuchomoka...Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
WACHAWI NYOKOWmchaw utumia mazngira yanayokuzunguka kukuloga na kukuarbia future yako kama n mnywaj wa pombe lazma atatumia bar au vlabu vya karbu kukulogea mpka wakuokote mtaron vivyo hivyo kielim hata kiuchumi njia moja yapo ya kwanza ya kumwekwepa mchaw n kukaa nae mbal mana mchaw n mtu mwenye wivu sana utampa elfu 10 hiyo hiyo ataitumia kwenda kukuangamiza nayo kiuchumi kwa kuifanyia makafara yao kwa kile wanachoita unajifanya una hela sana ngoja tukuonyeshe kama unaweza ukaondoka mazngira hayo potea kabisa hata kwa miaka 5 kaanze maisha yako mapya usfanye show off ya mitandaon wala nn hakiksha hawajui lolote kuhus ww zaid ya kujua flan n mzima tu usishirik sherehe wala misba isio ya lazma kijijin kwenu kwan hapo ndio ua lango kuu la kukukandamizia Nna meng ya kukuelezea kwasababu mm pia n mhanga wa hilo na nmelmudu kwa garama kubwa sana japo bado sijion katika ile hali yangu ya kwanza lakn n bora sasa kulko apo katikati nlvyokua sema mm sio mwandsh mzur nngekupa hints kbao za kukuvusha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
MKUU HII HALI INAKERA SANANipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
Washenzi sanaSiyo mtazamo...Walokole ni ndugu zetu,majirani zetu ,jamaa zetu kwa hiyo tunayaona wanayofanya ....wengi washenzi sana
Mchawi ni dhaifu dhaifu dhaifu na mwoga kuliko makundi yote ya waovu Duniani. Si lolote si chochote. Anategemea weakness na woga wako tuu ili kufanikisha mission zake. Nasema Mchawi ni mpuuzi wa mwisho asiye na power yeyote.. Zaidi tuu ni kuwaendekeza. Ni kama tuu nyoka asiye na sumu au meno alivyo na mabaka mabaka na mbwembwe za kumtishia adui kwa lengo la kujihami tuu laki is ukimsogelea zaidi anakimbia. Ushirikina ni upuuzi fulani tuu unaoendekezwa na jamii za waoga.Huwezi toka Ndugu yangu! Nakuhakikishia,Kama Hujaarhirika moja kwa moja Achana nao tu( Ishi nao tu).
.Wachawi hawajawahi kishindwa vita sababu kuu wana Ushirikiano kuliko Waganga na kama Mara nyingi wanasumbua watu wenye mafanikio ili wawafilisi( Roho mbaya).
.Mwisho nikwambie Hakuna mganga Ambae sio Mchawi,Utanikumbuka Ukishafilisika!!
Kwahiyo ukitafuta uchawi ndio utampendeza Mungu? Hapa nahisi unasumbuliwa pia na fikra zako mwenyewe zinakupoteza,.. Kama hautabadili attitude yako ni ngumu sana kufanikiwa kutoka kwenye hicho kifungo..Hapa unazungumzia ulokole...ambao asilimia kubwa ni unafiki..na mimi sitaki kumkwaza Mungu kwa huo unafiki
Vingi tu wanashindwa, wangekuwa wanaweza KILA kitu wangefanya uharibifu mkubwa SanaHuwezi toka Ndugu yangu! Nakuhakikishia,Kama Hujaarhirika moja kwa moja Achana nao tu( Ishi nao tu).
.Wachawi hawajawahi kishindwa vita sababu kuu wana Ushirikiano kuliko Waganga na kama Mara nyingi wanasumbua watu wenye mafanikio ili wawafilisi( Roho mbaya).
.Mwisho nikwambie Hakuna mganga Ambae sio Mchawi,Utanikumbuka Ukishafilisika!!
Unafiki ni tabia ya mtu na sio ulokoleHapa unazungumzia ulokole...ambao asilimia kubwa ni unafiki..na mimi sitaki kumkwaza Mungu kwa huo unafiki
Kumvisha tairi ndiyo nzuri,piga motoNipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.
Mpo wengi mnaompigia debe!Nasikia Kuhani Musa wa pale Temboni anaweza kukuondolea hayo mabalaa na kisha akayaboresha akayarudisha kwa aliyekuloga yakiwa na nguvu mara dufu.
Ni wewe tu unaamua adui afe ama ateseke tu.
Hao ndio magwiji wa uchawi.Hupo
Unahitaji kuombewa na Shehk au nikuunganishe na mtaalam ??
Wanatesa sana hawa washenzi . Kwa mtu ambaye hayajamkuta hawezi kuelewa tunaongelea nini. Tunashukuru sisi tumeshamjua mtesi wetu sasa tunajipanga kufanya kituNipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya mawe,ombewa sana ila hakuna mabadiko,kilichobakia sasa ni kumjua mchawi wetu na kwenda kumkata tu mapanga.