chongoe
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,128
- 2,717
Nishawafuma watu zaidi ya mara moja ila hii ilikuwa ndio kali nilikuwa ndani ya jahazi toka mafia kwenda kisiju nilipakia abiria wakike na kiume safari ilianza saa sita usiku kumbe baadh ya abiria walikuwa wamejifunika turubai wamelala huku jahazi ikitembea ikiwa tunaendelea na safari.
Mimi nikamkabidhi mtu sukani ili nitafute maturubai yaliopo chini ili kufunika baadhi ya mizigo isije ikaloa wakati naenda chini nikakutana na turubai ile kulivuta kumbe kuna jamaa alikuwa ndo wamejifunika anakula mzigo nikawauliza mnataka tuzame kwakuwa kuna badh ya watu walikuwa wamelala ndo ikawa afazali kwao ila niliwatoza pesa kila mmoja nilipata 40,000 ila kilichotokea nusura tuzame.
Mimi nikamkabidhi mtu sukani ili nitafute maturubai yaliopo chini ili kufunika baadhi ya mizigo isije ikaloa wakati naenda chini nikakutana na turubai ile kulivuta kumbe kuna jamaa alikuwa ndo wamejifunika anakula mzigo nikawauliza mnataka tuzame kwakuwa kuna badh ya watu walikuwa wamelala ndo ikawa afazali kwao ila niliwatoza pesa kila mmoja nilipata 40,000 ila kilichotokea nusura tuzame.