KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Naomba niegemee ktk pande hizi mbili,Mungu wa kikristu na yule wa kiislamu.. kwangu Hawa ni Miungu wawili tofauti(sipo kulijadili hili), Msingi wa mada husika utaegemea ktk pande hizo mbili!.
Mungu amekuwa akihubiriwa kuwa na utukufu,uwezo na nguvu za ajabu!. Binafsi nimepata walakini kuhusu yeye!, Uwezo alionao ni Kama unakuzwa zaidi ya vile aviwezavyo!
Mfano imekuwa ikitajwa kuwa Mungu Ni muweza wa kila kitu Sasa je,Mungu anaweza kujipoka nguvu zake na uwezo wake na asiweze kuurudia..?
Kifikra ni vyema kuondosha mwiba barabarani kuliko kuuacha ili uje umche na mwengine!..
Ni ipi haja ya Mungu kumuacha shetani atese viumbe vya Mungu avipendavyo...? Kuna faida gani ya kuviweka viumbe viovu motoni Kama havikupunguzii ama havikuongezei chochote ktk utukufu wako maana Mungu ndo hitimisho la yote..?
Ni ipi faida ya kuwa na Mungu kwenye dunia yetu ikiwa shida tunazipata wakati hatujawahi kumuomba kutuumba kwetu..?
Kwanini anapewa sifa ya wema tu wakati hata huyo shetani muovu alitokea kwake ambapo Mungu ndio muanzilishi wa kila kitu,hii inamaanisha Mungu anasifa ya wema na uovu maana kwake ndio chanzo cha kila kitu na shetani aliitoa wapi asili ya uovu..? Kama asili ya uovu haitoki kwake Basi kuna asili nyengine tofauti na Mungu ambayo inasifa ambazo hazitoki kwake!
NB;Mimi ni Agnostic kwa maana ya sijui Mungu kuwa yupo au hayupo.. sababu za kuwepo au kutokuwepo kwake binafsi hazijakidhi!!
Mungu amekuwa akihubiriwa kuwa na utukufu,uwezo na nguvu za ajabu!. Binafsi nimepata walakini kuhusu yeye!, Uwezo alionao ni Kama unakuzwa zaidi ya vile aviwezavyo!
Mfano imekuwa ikitajwa kuwa Mungu Ni muweza wa kila kitu Sasa je,Mungu anaweza kujipoka nguvu zake na uwezo wake na asiweze kuurudia..?
Kifikra ni vyema kuondosha mwiba barabarani kuliko kuuacha ili uje umche na mwengine!..
Ni ipi haja ya Mungu kumuacha shetani atese viumbe vya Mungu avipendavyo...? Kuna faida gani ya kuviweka viumbe viovu motoni Kama havikupunguzii ama havikuongezei chochote ktk utukufu wako maana Mungu ndo hitimisho la yote..?
Ni ipi faida ya kuwa na Mungu kwenye dunia yetu ikiwa shida tunazipata wakati hatujawahi kumuomba kutuumba kwetu..?
Kwanini anapewa sifa ya wema tu wakati hata huyo shetani muovu alitokea kwake ambapo Mungu ndio muanzilishi wa kila kitu,hii inamaanisha Mungu anasifa ya wema na uovu maana kwake ndio chanzo cha kila kitu na shetani aliitoa wapi asili ya uovu..? Kama asili ya uovu haitoki kwake Basi kuna asili nyengine tofauti na Mungu ambayo inasifa ambazo hazitoki kwake!
NB;Mimi ni Agnostic kwa maana ya sijui Mungu kuwa yupo au hayupo.. sababu za kuwepo au kutokuwepo kwake binafsi hazijakidhi!!