Je, ukubwa anaopewa Mungu anaustahili?

Je, ukubwa anaopewa Mungu anaustahili?

Kwahivyo wewe unamuonea Mungu wivu? mwache apewe utukufu kwani yenye ndiye mwenye enzi, utukufu na enzi ni vyake milele na milele. Nitaendelea kumuhimidi Mungu wangu kutoka mawio ya jua hata machweo yake bila kuchoka.
 
Kwahivyo wewe unamuonea Mungu wivu? mwache apewe utukufu kwani yenye ndiye mwenye enzi, utukufu na enzi ni vyake milele na milele. Nitaendelea kumuhimidi Mungu wangu kutoka mawio ya jua hata machweo yake bila kuchoka.
Nimuonee wivu kwa kipi..?
Kama hauna jicho pevu hauwezi ukaelewa nilichoandika!
 
Umeuliza kwa nini Mungu tunamuweka kwenye picha ya kuabudiwa tu? Pia rejea doubt ulio nayo kwenye kichwa cha maada.

Mimi Naweza kukwambia utafute mzizi na kina cha hayo maswali,,utafakari kwa kina na kila siku uishi ukiutafuta ukweli.

Usiridhike kwa jibu lolote mpaka pale umetafakari ukajua ukweli.

Nimepita mahali kukawa na neno "Usipojua utajua ukijua"

Nikalifananisha na ""Ukiijua kweli hio kweli itakuweka huru,,,nawe utakuwa huru kwelikweli""

Kwa hio tafuta kweli iko wapi?

Hata watafuta ukweli flani wa kizungu nimeona wameandika mahali "Who are we and where do we come from?""

Labda wewe umejiridhisha kwamba tumetoka kwa Mungu kwenye maandiko yako,,,,,sasa limebaki swali la ""sababu,lengo ama dhumuni la sisi kuwa hapa duniani ni nini???

Waisraeli walipotoka misri walitaka Mungu aongee nao direct,,,lakini Mungu aliposhuka kwenye mlima aongee nao walibadili mawazo njiani baada ya kugundua kuwa Mungu ni mkubwa mara mia zaidi ya walivyozani,,mwisho wakakaa mbali wakateua mwakilishi aongee na Mungu kwa niaba yao.

Ninaamini hata wewe utakapokuja gundua kwamba sisi ndio tumemuandarate Mungu utakuwa ni ukweli mgumu sana kwako.
Kwanini kuwe na haja ya Mimi kumtafuta yeye wakati sikuwahi kumuomba aniumbe..? Kwakuwa sikumuomba aniumbe na akaniumba hili linaonyesha kuwa yeye ndo anashida na sisi!,hivyo yafaa yeye kututafuta sisi..

Kimantiki kosa la Adam kuumiza mpaka binadamu wengine unaona li sahihi..? Kivipi..?

Mi naona ni Kama vile nyie ndio hamumuelewi huyo Mungu!
Mungu yupo ktk pande zote mbili wema na uovu hakuna cha kumtenga! Na ndio maana hilo tunda la uovu hakuumba shetani bali Mungu huyohuyo na kwakuwa imeandikwa kuwa kamuumba binadamu kwa mfano wake hata ulaji wa tunda hilo binadamu katimiza sifa za muumba wake!! Mzunguko ni uleule..
Huwezi kukubali kuwa Mungu kaumba kila kitu Kisha ukatae uovu haukutoka kwake! Kwani itakuwa si muumba wa kila kitu.

Kwanini Mungu mnamuweka ktk picha ya kuabudiwa tu..? Hana Mambo mengine ya kufanya..? Kabla hajaumba wa kumuabudu alipungukiwa nini mpk kutaka kuabudiwa..?
Kama alivyoviumba vinatoka kwake vyote,shetani, binadamu,malaika n.k Kuna haja ipi ya kuadabisha vikikosea wakati vinatoka kwake pasi na uovu..?
Hili tendo mi nalishangaa maana Ni sawa na kucheza gemu! Unajinyofoa ktk uwezo wako unaunda kitu kutoka ktk sifa zako kisha kikienda hovyo unakiadhubu!!!!!!!!!!! Sijui kama unanielewa na ukiweza kunielewa hapa utaona upuuzi uliopo hapo hadi ninaona kuwa Mungu anavyotafsiriwa sivyo inavyotakiwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahivyo wewe unamuonea Mungu wivu? mwache apewe utukufu kwani yenye ndiye mwenye enzi, utukufu na enzi ni vyake milele na milele. Nitaendelea kumuhimidi Mungu wangu kutoka mawio ya jua hata machweo yake bila kuchoka.
gwajima akisoma post hii atafurahi sana
 
Umeuliza kwa nini Mungu tunamuweka kwenye picha ya kuabudiwa tu? Pia rejea doubt ulio nayo kwenye kichwa cha maada.

Mimi Naweza kukwambia utafute mzizi na kina cha hayo maswali,,utafakari kwa kina na kila siku uishi ukiutafuta ukweli.

Usiridhike kwa jibu lolote mpaka pale umetafakari ukajua ukweli.

Nimepita mahali kukawa na neno "Usipojua utajua ukijua"

Nikalifananisha na ""Ukiijua kweli hio kweli itakuweka huru,,,nawe utakuwa huru kwelikweli""

Kwa hio tafuta kweli iko wapi?

Hata watafuta ukweli flani wa kizungu nimeona wameandika mahali "Who are we and where do we come from?""

Labda wewe umejiridhisha kwamba tumetoka kwa Mungu kwenye maandiko yako,,,,,sasa limebaki swali la ""sababu,lengo ama dhumuni la sisi kuwa hapa duniani ni nini???

Waisraeli walipotoka misri walitaka Mungu aongee nao direct,,,lakini Mungu aliposhuka kwenye mlima aongee nao walibadili mawazo njiani baada ya kugundua kuwa Mungu ni mkubwa mara mia zaidi ya walivyozani,,mwisho wakakaa mbali wakateua mwakilishi aongee na Mungu kwa niaba yao.

Ninaamini hata wewe utakapokuja gundua kwamba sisi ndio tumemuandarate Mungu utakuwa ni ukweli mgumu sana kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
na wala sio mara mia mbili
 
Back
Top Bottom