Nafikiri tungeanza kwa kupata tafsiri ya neno uhuru kwanza. Hii mada ni pana sana na uhuru unatofauriana kati ya mtu na mtu kulingana na wanavyochukulia neno uhuru kwao.
Kuna kanuni au taratibu za kiimani, sheria za nchi, kazini, mila na desturi, malezi na utashi wa wazazi/walezi...
Mwisho wa siku, hauwezi kumfurahisha kila mtu ila jitahidi usivunje sheria tu..kuna mambo utafanya hata nafsi yako haikubali au haipendezwi nayo.