Nimebaharika kufika baadhi ya miji mbalimbali duniani, ikiwamo baadhi ya miji africa na Tanzania karibu yote! Kitu nachoona ni tofauti kabisa na sisi, ni jinsi wenzetu wanavyothamini suala zima la makazi,
Ukiangalia makazi yetu hasa kwenye miji mikubwa kama vile Dar es salaam, Mwanza, Mbeya etc imejengwa hovyo na unajiuliza tu tatizo ni nini? Kwanini suala la makazi lisipewe kipaumbele na serikali? Naamini itasaidia sana hata kupunguza uharifu,.
Miji ya wenzetu kwakweli ni mizuri sana hata ukipiga picha tu upo mtaani unatokelezea. Naamini bado sisi ni nchi changa lakini suala la makazi naona binafsi lipewe kipaumbele kama standard gauge sababu hata huko mbele uchumi ukikuwa itakuwa tabu sana na gharama kubwa kulekebisha miji yetu!
Mh. Lukuvi naamini wewe ni ntu makini sana na una exposure kubwa, kwann nyumba zetu na ramani ya nyumba zetu zipo karibu sana na barabara? Hatuoni umuhimu wa kuwa na front yard and back yard? Kwanini ramani za nyumba zinabanana kiasi kwamba hamna space ya nyumba moja hadi nyingine? Why are our houses so close to the street roads or main roads? Hili nalo ni pesa au maamuzi? Sababu nchi hii haina tatizo la ardhi kwanini tubanane? Ebu serikali na wizara husika chukulieni suala la makazi na mipango miji very seriously! Muanze angalau na vibrant cities kama Dar es salaam, Mwanza, Dodoma, Mbeya etc,
May God bless our great country!!
Ukiangalia makazi yetu hasa kwenye miji mikubwa kama vile Dar es salaam, Mwanza, Mbeya etc imejengwa hovyo na unajiuliza tu tatizo ni nini? Kwanini suala la makazi lisipewe kipaumbele na serikali? Naamini itasaidia sana hata kupunguza uharifu,.
Miji ya wenzetu kwakweli ni mizuri sana hata ukipiga picha tu upo mtaani unatokelezea. Naamini bado sisi ni nchi changa lakini suala la makazi naona binafsi lipewe kipaumbele kama standard gauge sababu hata huko mbele uchumi ukikuwa itakuwa tabu sana na gharama kubwa kulekebisha miji yetu!
Mh. Lukuvi naamini wewe ni ntu makini sana na una exposure kubwa, kwann nyumba zetu na ramani ya nyumba zetu zipo karibu sana na barabara? Hatuoni umuhimu wa kuwa na front yard and back yard? Kwanini ramani za nyumba zinabanana kiasi kwamba hamna space ya nyumba moja hadi nyingine? Why are our houses so close to the street roads or main roads? Hili nalo ni pesa au maamuzi? Sababu nchi hii haina tatizo la ardhi kwanini tubanane? Ebu serikali na wizara husika chukulieni suala la makazi na mipango miji very seriously! Muanze angalau na vibrant cities kama Dar es salaam, Mwanza, Dodoma, Mbeya etc,
May God bless our great country!!