Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Hawa Twitter wamemfungia Trump account wakitoa sababu kuwa anahatarisha usalama na kunajisi demokrasia. Lakini Hiyo hiyo Twitter imekuwa inawaacha wanaharakati wa Afrika hata kama watawala wake wanapiga kelele kuwa wanahatarisha amani za nchi zao.
Nani amewapa uwezo wa kuhukumu kuwa huyu ni Mwanaharakati na huyu anahatarisha Usalama?
Nani amewapa uwezo wa kuhukumu kuwa huyu ni Mwanaharakati na huyu anahatarisha Usalama?