Je, tutafika; mahojiano na balozi Karume

Je, tutafika; mahojiano na balozi Karume

Je zanzibar kuna vyama vingi ? Pia nakuombeni tafsiri ya neno UCHAGUZI katika mfumo wa vyama vyingi ? Naomba msaada.

Pia naomba nijuzwe kile kifungu katika katiba ya znz kinachosema znz ni nchi ya kidemokrasia ya vyama vingi kipo kimakosa ? Au kipi sahihi
 
Msituletee mambo ya enzi hizo! Sisi hatukuwepo huko tunachojuwa sisi huu ni ulimwengu wa demokrasia, msilazimishe vitu ambavyo havipo hatuna haja ya kuendeleza historia zisizo Na faida huo.ni upumbavu kutuimbisha wimbo tusio ujuwa. Wala usio Na faida Na nchi.

Hizi ndiyo siasa za Zanzibar free-zanzibar.blogspot.co.ke/2014/05/balozi-seif-ali-iddi-alazimisha-kuwa.html?m=1
 
Back
Top Bottom