Je, tutafika; mahojiano na balozi Karume

Je, tutafika; mahojiano na balozi Karume

Mbona hata yeye , Balozi Karume ni Mwarabu au kwa kuwa yuko CCm? Shida ya Zanzibaba ni ubaguzi kwa kigezo cha kittu kinaitwa mapinduzu! Mapinduzi yenyewe yanayong'ang'aniwa ni ya kutumia marungu! Wamuulize Castro, atawambia mapinduzi ni kitu gani.
kadi ya ccm bado anayo?
 
Kupiga kura kuna maana sana labda kama huoni maana yake.
Maana gani unayosema wewe wakati wanaccm wanaamini kuwa Mwenyezi Mungu amewapa wao pekee 'hati miliki' ya kuitawala nchi hii hadi mwisho wa dunia?

Hata hivyo Magufuli amewakumbusha wanaccm wenzake kuwa ni lazima wakubaliane na principle kuu ya demokrasia ya mfumo wa vyama vingi, ambayo ni KUSHINDA na KUSHINDWA.

Kutokana na kauli yake angalau inaweza kuwa ndiyo imewezeshha apatikane Meya mpya wa jiji la Dar toka Ukawa.

Ingawa CCM walijua wazi kuwa hesabu kwa njia yoyote ile isingeweza kuwabeba kumpata Meya wa Dar, lakini kwa 'upuuzi' wao wamesababisha Jiji la Dar lishindwe kuwa na Meya kwa miezi 5 mfululizo kutokana na kuahirishwa kwa uchaguzi huo mara 4 mfululizo, kutokana na figisu figisu za CCM za kutaka kulazimisha Meya wa jiji la Dar kuwa lazima atoke CCM.

Hakika kama msajili wa vyama vya siasa hapa nchini, Jaji Mutungi angekuwa fair kabisa bila kuegemea upande wa 'mabosi' wake wa CCM, angekuwa tayari keshakifuta kutoka orodha ya vyama vya siasa hapa nchini kutokana na chama hicho kukiuka waziwazi principle kuu ya mfumo wa vyama vingi ya kukubali kuwa unapoingia kwenye chaguzi za vyama vingi kuna MSHINDI na MSHINDWA.
 
Kupiga kura kuna maana sana labda kama huoni maana yake.

Ninatamani unielezee maana na faida zake katika mazingira haya ambayo, nillyekuwa namjibu alisema serikali ya Zanzibar ilipatikana kwa mapinduzi ya kutumia silaha na wala si kwa kutumia kura, akimaanisha CCm itaendelea kutawala na haitaondolewa kwa kura.

Kwa mantiki hiyo, akimaanisha kwamba mapinduzi yalikuwa ya kumtoa Sultani na kuitawaza ccm mahala pake na hivyo, kwa kuwa ccm ilitawazwa kwa nguvu za mtutu, ndiyo sababu inalinda utawala wake kwa bunduki.

Sasa kaam ndivyo, kwa nini kupiga ama kupigisha watu kura? Ndiyo hoja yangu ilikoanzia.
 
Sikuamini anasema haiwezekani kumpa nchi mtu ambaye hakutaja jina lake akisema ni mwakilishi wa Sultani wa Oman. Anawakilisha ZPP na PPP vyama vilivyopindiliwa 1964. Is this real.
Sultani yupi?
Yule ambae Salmin Amour Aliemuambia kuwa anaweza kurudi kwao.
au
Yule kina pinda, lukuvi na kina makinda waliokwenda kuchukua hela kule oman na anaowajengea bandari ya bagamoyo?
 
Huo ndo uhalisia ambao unapaswa kusemwa waziwazi
Mtu akimsifia Kinana nashangaa sana mbona kwao Somalia wanavurugana...kina ni msomali aliyezaliwa Somalia anayebisha afanye utafiti....kwa sababu tu alijiunga na jeshi ndio maana anaonekana kama mtanzania mzawa.
 
Ninatamani unielezee maana na faida zake katika mazingira haya ambayo, nillyekuwa namjibu alisema serikali ya Zanzibar ilipatikana kwa mapinduzi ya kutumia silaha na wala si kwa kutumia kura, akimaanisha CCm itaendelea kutawala na haitaondolewa kwa kura.

Kwa mantiki hiyo, akimaanisha kwamba mapinduzi yalikuwa ya kumtoa Sultani na kuitawaza ccm mahala pake na hivyo, kwa kuwa ccm ilitawazwa kwa nguvu za mtutu, ndiyo sababu inalinda utawala wake kwa bunduki.

Sasa kaam ndivyo, kwa nini kupiga ama kupigisha watu kura? Ndiyo hoja yangu ilikoanzia.
Kujadili mambo haya sharti kujua historia za kisiasa Zanzibar. Mapinduzi hayakiweka CCM madarakani sababu yalifanywa na Afro Shiraz party. CCM ni mtoto wa 1977 baada ya kuungana na TANU ya bara kuwa na chana kimoja chenye sura ya Muungano kama ilivyo serikali. Wazazibari kama Balozi Karume wanajua hasama za kisiasa zinazojengwa ktk matabaka ya mabwana (Waarabu) na watwana (Waafrika) tangu enzi hizo. Marehemu alijaribu kuondo matabaka kwa kulazimisha waoleane ili kitokee kizazi cha machotara akidhani kitapunguza uhasama kumbe kwa sasa hiki. duo tatizo zaidi sababu kimejifanya daraja la juu sababu kina nasaba na Oman kwa babu zao. Na kinapata msaada mkubwa toka huko na ndiyo mivutano tunayoina Zenji kisiasa.
 
Kujadili mambo haya sharti kujua historia za kisiasa Zanzibar. Mapinduzi hayakiweka CCM madarakani sababu yalifanywa na Afro Shiraz party. CCM ni mtoto wa 1977 baada ya kuungana na TANU ya bara kuwa na chana kimoja chenye sura ya Muungano kama ilivyo serikali. Wazazibari kama Balozi Karume wanajua hasama za kisiasa zinazojengwa ktk matabaka ya mabwana (Waarabu) na watwana (Waafrika) tangu enzi hizo. Marehemu alijaribu kuondo matabaka kwa kulazimisha waoleane ili kitokee kizazi cha machotara akidhani kitapunguza uhasama kumbe kwa sasa hiki. duo tatizo zaidi sababu kimejifanya daraja la juu sababu kina nasaba na Oman kwa babu zao. Na kinapata msaada mkubwa toka huko na ndiyo mivutano tunayoina Zenji kisiasa.
Msituletee mambo ya enzi hizo! Sisi hatukuwepo huko tunachojuwa sisi huu ni ulimwengu wa demokrasia, msilazimishe vitu ambavyo havipo hatuna haja ya kuendeleza historia zisizo Na faida huo.ni upumbavu kutuimbisha wimbo tusio ujuwa. Wala usio Na faida Na nchi.
 
Msituletee mambo ya enzi hizo! Sisi hatukuwepo huko tunachojuwa sisi huu ni ulimwengu wa demokrasia, msilazimishe vitu ambavyo havipo hatuna haja ya kuendeleza historia zisizo Na faida huo.ni upumbavu kutuimbisha wimbo tusio ujuwa. Wala usio Na faida Na nchi.
Watu wanajazba na historia wakati hawaijui wala hawataki kuisoma kujua ukweli,analazimisha iwe wanavotaka wao hata kama ha
 
Watu wanajazba na historia wakati hawaijui wala hawataki kuisoma kujua ukweli,analazimisha iwe wanavotaka wao hata kama hai make sense basi ni mawazo ya miaka yakurudi nyuma na haya mawazo ya kukataa changes ndio yanatubakisha nyuma waafrika na watu wanayashobokea tena bila utafiti.
 
"Zanzibar ni nchi ya watu weusi na Nchi ya Kimapinduzi haitolewi kwa karatasiii, Namwambia Jussa Hatuitoi hatuitoi labda watupindue!".
Aliye ya sema haya sasa ni marehemu , amakweli binadamu hatujitambui walau tungejitambua hata kidogo tusinge.......... ???!!
 
Na Mzee Karume senior alikuwa kabila gani?
 
Kujadili mambo haya sharti kujua historia za kisiasa Zanzibar. Mapinduzi hayakiweka CCM madarakani sababu yalifanywa na Afro Shiraz party. CCM ni mtoto wa 1977 baada ya kuungana na TANU ya bara kuwa na chana kimoja chenye sura ya Muungano kama ilivyo serikali. Wazazibari kama Balozi Karume wanajua hasama za kisiasa zinazojengwa ktk matabaka ya mabwana (Waarabu) na watwana (Waafrika) tangu enzi hizo. Marehemu alijaribu kuondo matabaka kwa kulazimisha waoleane ili kitokee kizazi cha machotara akidhani kitapunguza uhasama kumbe kwa sasa hiki. duo tatizo zaidi sababu kimejifanya daraja la juu sababu kina nasaba na Oman kwa babu zao. Na kinapata msaada mkubwa toka huko na ndiyo mivutano tunayoina Zenji kisiasa.

Mkuu hebu tuelezee neno Mapinduzi kama linavyotumiwa na CCM (CHAMA CHA MAPINDUZI)
 
Huo ndo uhalisia ambao unapaswa kusemwa waziwazi

Ubaguzi kwenye point ya mwisho kabisa.Leo bora imekuwa mkweli.Jiulize leo je Muungano utasurvive kwa kuung'ang'aniza???
 
Nasikia wazenji wanadai kuwa jamaa alimuua mwananmke kwa kuwa tu alimkataa na ndio maana anaigemea CCM kufa kupona !

Kama ni kweli basi siri ishavuja.
 
"Zanzibar ni nchi ya watu weusi na Nchi ya Kimapinduzi haitolewi kwa karatasiii, Namwambia Jussa Hatuitoi hatuitoi labda watupindue!".

Mkiacha ubaguzi mtaenda mbele hatia mia.Kwa Ubaguzi mlionao mtaishia kuvaa T-shirt za kijani tu.Kama Marekani wangekuwa kama nyinyi wabaguzi sidhani kama Raia wa Kenya angeweza kuwa Rais.Tujifunze kukubali katika kutokubaliana.Hakuna binadamu anayependa kubaguliwa.
 
Back
Top Bottom