Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,652
- 698,310
Kwanza lazima tujihoji ama tuhoji
Tunu za Taifa ni nini?
Tunu za Taifa ni zipi?
Je, tunu zetu za Taifa zina hakimiliki?
Je, tunu zetu za Taifa zina hatimiliki?
Je, tunu zetu hizi zinatambulika kisheria?
Je, katiba yetu inasemaje kuhusu tunu zetu za Taifa? Mipaka na matumizi yake?
Je, katiba yetu inasemaje juu ya uhuru na ukomo wa matumizi ya tunu zetu.
Kiimani?
Kimila?
Kijamii?
Kisheria?
Kisiasa?
View attachment 1527919
Tunu za Taifa ni nini?
Tunu za Taifa ni zipi?
Je, tunu zetu za Taifa zina hakimiliki?
Je, tunu zetu za Taifa zina hatimiliki?
Je, tunu zetu hizi zinatambulika kisheria?
Je, katiba yetu inasemaje kuhusu tunu zetu za Taifa? Mipaka na matumizi yake?
Je, katiba yetu inasemaje juu ya uhuru na ukomo wa matumizi ya tunu zetu.
Kiimani?
Kimila?
Kijamii?
Kisheria?
Kisiasa?
View attachment 1527919