Je, tunaweza kuwa kama kunguru?

Je, tunaweza kuwa kama kunguru?

jiwe gizani

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2021
Posts
380
Reaction score
511
Je, unaweza kua kama kunguru kwenye swala la mahusiano?

Binafsi ziwezi aisee niwe tu mkweli

JamiiForums1630015229.jpg
 
😁

Turudi kwenye mada je lilikuwa kusudio la Mungu ya kwamba binadamu awe na mtu mke mmoja tu?
 
Dah maskini....!! Kuna kunguru hapa alikuwa na kijidonda mguuni kajipendekeza kusimama kwenye nyaya ya umeme, kilichompata kamuacha mwenza wake mpweke, rest in peace kunguru, mwenzio yupo katika majonzi makubwa mnoo, atakukumbuka daima.
 
Kunguru inaishi miaka 15 - 20, binadamu ikifika miaka 15 - 20 ndio inaanza balehe lazima binadamu itembee na watu wengi🤣

IMG_20210606_201031.jpg
 
Back
Top Bottom