Je, tunaweza kuwa kama kunguru?

Je, tunaweza kuwa kama kunguru?

Dah maskini....!! Kuna kunguru hapa alikuwa na kijidonda mguuni kajipendekeza kusimama kwenye nyaya ya umeme, kilichompata kamuacha mwenza wake mpweke, rest in peace kunguru, mwenzio yupo katika majonzi makubwa mnoo, atakukumbuka daima.
Apumzike kwa amani🙏
 
Back
Top Bottom