Sawa KaffirIST ni gari inayomfaa Mwanamke tena student, mwanaume hata kama ni mfupi unayefit kwenye seat na sterling wheel jiongeze kidg ununue gari kubwa kiasi na iliyopo juu
Yaap, pia Mgalatia umesahau.Sawa Kaffir
You are not serious, shule gani hiyo ya udereva uliyosoma?! Mwalimu alikufundisha tu kunyoosha steering. Sasa ata hujui kama kwenye gari kuna ku adjust kiti huo ni udereva gani😀 hivyo ni vitu vya awali kabisa dereva unatakiwa uvijue ili ukae vizuri ktk kiti chako kulingana na urefu wako au ufupi wako ili kuzifikia zile pedal vizuri na kuwa comfortable hii ni kwa usalama wako na abiria waliopo ktk chombo chako.Nimeenda driving school ila gari tuliloendesha na mwalimu wangu hatukusogeza viti
Sterling inapatikana sehemu gani ktk gari mkuu?! Hivi toyota ndio wamesema IST ni gari kwa ajili ya wanawake au ni maoni yako tu?!IST ni gari inayomfaa Mwanamke tena student, mwanaume hata kama ni mfupi unayefit kwenye seat na sterling wheel jiongeze kidg ununue gari kubwa kiasi na iliyopo juu
Tafuta kwa washkaji ujipime halafu usepeHabari za saa hizi members wa forum ya magari.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.
Sterling inapatikana kwenye tairi pale, waliosema ni CCMSterling inapatikana sehemu gani ktk gari mkuu?! Hivi toyota ndio wamesema IST ni gari kwa ajili ya wanawake au ni maoni yako tu?!
Tafuta IST omba ingia kaa chukua vipimo kisha utajua unaagiza au laaaHabari za saa hizi members wa forum ya magari.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.
Hadi bajaji au vipiiMkuu unatosha vizuri kabisa kwa huo urefu hakuna gari ambayo huwezi ingia
Shafeli hahaaaaa, wamekupa cheti ooooohNimeenda driving school ila gari tuliloendesha na mwalimu wangu hatukusogeza viti
Habari mkuu Joel360 , mimi nina urefu wa 6.3 na ni miguu yangu ni mirefu na nilikuwa nina mpango wa kuchukua IST mwanzoni kabla sijabadilisha maamuzi na kuamua kuchukua SUV.Habari za saa hizi members wa forum ya magari.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.
😂Habari za saa hizi members wa forum ya magari.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.
Mkuu utanunuaje gari ya kutumbukia? Nunua gari la kupanda!Habari za saa hizi members wa forum ya magari.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.