Habari za saa hizi members wa forum ya magari.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.
Najua humu kuna wazoefu wa Gari aina ya Ist. Ndio gari yangu ya kwanza nnayotaka kuinunua kwa sababu tatu.
I. Utumiaji mdogo wa mafuta (nachukua yenye cylinder ya 1300)
II. Nimeambiwa Haichemshi kwa safari za Dar - Moshi.
III. Upatikanaji rahisi wa spair na mafundi ni rahisi.
Tatizo mie mrefu wa 6.1 feet, wasi wasi wangu ni je, ntaweza kutoshea mule ndani kwa kuzingatia nafasi ya miguu na nafasi ya kichwa ?
Nimeona niulize kwa kuwa nimekosa mtu mwenye ist nijaribie kuingia. Ntashkuru sana kwa majibu yenu.
Au pia unaweza kunisaidia kama una ist na unaishi mwenge au sinza, basi nije nijaribu kuingia kwenye gari lako ni-assume kama naendesha vile ili nione kama natoshea.