abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habari Wadau
Katika katika mambo ambayo yanafanya nione kabisa kua Waafrica haito Kuja kutokea mtu Mweus akajielewa na Kusimamia misimamo yake moja kubwa ni jambo IL la corona
Wote tunakumbuka corona ilipo Anza Dunia nzima iliish kwa wasiwas mkubwa Sana Na uku tukisubir muongozo kutoka kwa wazungu ni namna Gan ya kufanya
Baada ya muda kwenda na waafrica maisha yao kua magum sababu ya namna ya kuish na corona akatoke mtu mmoja mwenye akil ya Hali ya juu na Kuja na muongozo mzur wa kupambana na corona Mh Hayat John Pombe Magufuli. Alianza kwa kusema kumuweka mtu ndan kwanza Kuna sababisha Kinga mwil kupungua pia na mtu kushindwa kufanya Kaz zake za kila siku
Baada ya kusema hayo akaruhusu watu wawe huru kufanya kazi zao na kusema haya yafuatayo
1)Dawa za famigation haziuw viruses wa corona. Alisema haya bado kila taifa linapambana na halielew lifanye Nini na kwa ujinga wao wa kuto kuelewa wafanye Nini wa kaanza kumbeza Rais Magufuli Lakin baada ya miezi 6 Dunia nzima ikakir pamoja na shirika la Afya Dunian likakubali kile alicho kusema Magufuli
2) Vipimo vya corona vinatoa majibu ya uongo huenda haviko Sawa. Alipo Sema ivyo wakaibuka Tena watu wa kupinga Tena kwa vijembe vingi kua Tanzania hatuna akil wa kasahau kua mwanzo tuliwaambia ya famigation wakapinga ikaja kua kweli. Tukawaacha ila haikupita miez 3 ripot za ubovu wa vipimo zikaanza kutoka na wao kuona aibu kwa kuficha vichwa vyao ndan kama kobe
3)Rais Magufuli akasema tusitumie Barakoa za kuletewa Tutengeneze za kwetu hata za kanga ni salama Zaid. Pia wale ndugu zetu weus wakaja spidi kucheka na Kuanza kuzichambua barakoa ki sayansi na kumuona Magufuli bado anafanya Drama ila kama kawaida ya muda Hua haudanganyi . Baada tu ya miez Sita kupita Dunia nzima ilishuudiwa ikijikinga corona kwa mask za vitambaa za kushona
4)Rais Magufuli alisema kua inabid Corona tuizoee na tuish nayo kama ugonjwa mwingine tu wa kawaida. Kama kawaida kelele na lawama zilimfuata kwa wing uku wengine wakimcheka na kumbeza but Leo kiko wap shirika la Afya Dunia limesha yarudia maneno ya Magufuli pia hata mataifa yote Makubwa Dunian
Hayo ni machache ndan ya Mengi Alio Sema Hayat tukiacha Yale ya kumuomba mungu siku Tatu sababu wengine umu hawana Dini
Tukirud kwenye Mada uzi huu unaonyesha ni kwa kiasi Gan watu weus bado tunatawaliwa fikiria Leo wazungu ndio wanaanza kutangaza kua corona haito Isha Sasa cha kufanya ni kuish nayo tu na bila Mashart ya lock down. Tukumbuke kua Waafrica Tungeweza kuamua haya kabla yao na kufanya maamuz yetu yawe bora na yenye Mantik hata baadae ikija kutokea tatizo watoto zetu na wajukuu wangekua na uwezo wa kujiamin kuweza kutatua tatizo kutokana na historia ya nyuma kua hata babu zetu wakiweza.
But waafrica kwa kuonyesha kua Bongo zetu ni Bongo barid kila mmoja Alimuona Hayat Magufuli mjinga na kusubir kuona wazungu watasema Nini ili wao pia wafanye yani tumesubir kua Dunia ya Tatu kama kawaida yetu ya kupitia stage
Leo wazungu wanaanza kuyafanya Yale yote tulio takiwa kufanya sisi wa Africa kabla na tumesubir wazungu wafanye kwanza ili sisi tufanye pia je sisi ni kina Nan?
Katika katika mambo ambayo yanafanya nione kabisa kua Waafrica haito Kuja kutokea mtu Mweus akajielewa na Kusimamia misimamo yake moja kubwa ni jambo IL la corona
Wote tunakumbuka corona ilipo Anza Dunia nzima iliish kwa wasiwas mkubwa Sana Na uku tukisubir muongozo kutoka kwa wazungu ni namna Gan ya kufanya
Baada ya muda kwenda na waafrica maisha yao kua magum sababu ya namna ya kuish na corona akatoke mtu mmoja mwenye akil ya Hali ya juu na Kuja na muongozo mzur wa kupambana na corona Mh Hayat John Pombe Magufuli. Alianza kwa kusema kumuweka mtu ndan kwanza Kuna sababisha Kinga mwil kupungua pia na mtu kushindwa kufanya Kaz zake za kila siku
Baada ya kusema hayo akaruhusu watu wawe huru kufanya kazi zao na kusema haya yafuatayo
1)Dawa za famigation haziuw viruses wa corona. Alisema haya bado kila taifa linapambana na halielew lifanye Nini na kwa ujinga wao wa kuto kuelewa wafanye Nini wa kaanza kumbeza Rais Magufuli Lakin baada ya miezi 6 Dunia nzima ikakir pamoja na shirika la Afya Dunian likakubali kile alicho kusema Magufuli
2) Vipimo vya corona vinatoa majibu ya uongo huenda haviko Sawa. Alipo Sema ivyo wakaibuka Tena watu wa kupinga Tena kwa vijembe vingi kua Tanzania hatuna akil wa kasahau kua mwanzo tuliwaambia ya famigation wakapinga ikaja kua kweli. Tukawaacha ila haikupita miez 3 ripot za ubovu wa vipimo zikaanza kutoka na wao kuona aibu kwa kuficha vichwa vyao ndan kama kobe
3)Rais Magufuli akasema tusitumie Barakoa za kuletewa Tutengeneze za kwetu hata za kanga ni salama Zaid. Pia wale ndugu zetu weus wakaja spidi kucheka na Kuanza kuzichambua barakoa ki sayansi na kumuona Magufuli bado anafanya Drama ila kama kawaida ya muda Hua haudanganyi . Baada tu ya miez Sita kupita Dunia nzima ilishuudiwa ikijikinga corona kwa mask za vitambaa za kushona
4)Rais Magufuli alisema kua inabid Corona tuizoee na tuish nayo kama ugonjwa mwingine tu wa kawaida. Kama kawaida kelele na lawama zilimfuata kwa wing uku wengine wakimcheka na kumbeza but Leo kiko wap shirika la Afya Dunia limesha yarudia maneno ya Magufuli pia hata mataifa yote Makubwa Dunian
Hayo ni machache ndan ya Mengi Alio Sema Hayat tukiacha Yale ya kumuomba mungu siku Tatu sababu wengine umu hawana Dini
Tukirud kwenye Mada uzi huu unaonyesha ni kwa kiasi Gan watu weus bado tunatawaliwa fikiria Leo wazungu ndio wanaanza kutangaza kua corona haito Isha Sasa cha kufanya ni kuish nayo tu na bila Mashart ya lock down. Tukumbuke kua Waafrica Tungeweza kuamua haya kabla yao na kufanya maamuz yetu yawe bora na yenye Mantik hata baadae ikija kutokea tatizo watoto zetu na wajukuu wangekua na uwezo wa kujiamin kuweza kutatua tatizo kutokana na historia ya nyuma kua hata babu zetu wakiweza.
But waafrica kwa kuonyesha kua Bongo zetu ni Bongo barid kila mmoja Alimuona Hayat Magufuli mjinga na kusubir kuona wazungu watasema Nini ili wao pia wafanye yani tumesubir kua Dunia ya Tatu kama kawaida yetu ya kupitia stage
Leo wazungu wanaanza kuyafanya Yale yote tulio takiwa kufanya sisi wa Africa kabla na tumesubir wazungu wafanye kwanza ili sisi tufanye pia je sisi ni kina Nan?