Ili tuendelee tunahitaji Ardi, Watu, Uongozi bora na Siasa safi.Tanzania tunakosa kipi kati ya hivyo?Tujadili jamani,Je nini kifanyike?Miaka 50 ya uhuru,matatizo ndio yanazidi tufanyeje?
Tunakosa uongozi bora, inaelekea hivi sasa tunao bora viongozi. Mi ninavyofikiri kinachotakiwa kufanyika na ambacho kinaendana na wakati ni kwa wananchi kukataa hali ngumu inayosababishwa na hawa bora viongozi.
Kila mtu anahitaji kutimiza wajibu wake kwa usahihi wa hali ya juu, wazembe wasivumiliwe kwa namna yoyote; wanasiasa wafanye siasa kwa haki na wasiwaingilie wataalam. Bali wakubali kushauriwa na hao wataalam; pia vita ya rushwa iwe ni ya kumaanisha anayesema anapambana na rushwa aanze kujikana mwenyewe kabla ya kuleta mazingaombwe - kamata rushwa ya Shs 200,000 na samehe ya Shs 94 billion. Hii hata shetani hajawahi kuiwaza kabisa.
Tunahitaji uadilifu. Tusichanganye siasa na technical matters concerning nation's prosperity. A lawywer can't in any way translate an ectrical drawing in any way, that's Ngeleleja
Ili tuendelee tunahitaji Ardi, Watu, Uongozi bora na Siasa safi.Tanzania tunakosa kipi kati ya hivyo?Tujadili jamani,Je nini kifanyike?Miaka 50 ya uhuru,matatizo ndio yanazidi tufanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.