mimi nilikuwapo katika semina hiyo, na ilikuwa ni semina tulivu,na yenye malengo kwa jamiii nzima, naona hpa labda tuangalie kidogo yale ambayo mmeyasema(hyakuwa katika semina)tunapozungumzia udini ni mfumo km vile mfumo wa damu katika mwili,hakuna shaka 100% tanzania ina ina mfumo huo,nao nimfumo kristo,mfano unaposema vijana wakiisalmu wanafeli(si kwamba hawana akili)hebu kumbuka pale ulipobadilishwa mfumo wa majina kwenda kwenye namba,na marehemu kigoma malima, mwaka wa kwanza wanafunzi waliofaulu ni 75%,jiuulize ni kwanini?