Je tanzania bara kuna udini

Je tanzania bara kuna udini

Status
Not open for further replies.
Janja yenu ya kuwafelisha waislam na wakala wenu baraza la mitihani tumeshalijua,sasa tutashughulika nanyi mpaka dhulma iondoke,mnajifanya mna akili kumbe mnapewa mitihani kabla aibu sana,mimi nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anapata one ya 7 kisha anakuja A-level anapitwa hata na aliyepata division 3 maajabu ya musa,hii nchi haiwezi kuendelea kwa mfumo huu wa kupeana alama za bure.Ndalichako wenu tunahasira nae vibaya mno.
 
Nenda TRA halafu uje utuambie ulichokikuta huko nadhani jibu utalipata
 
Janja yenu ya kuwafelisha waislam na wakala wenu baraza la mitihani tumeshalijua,sasa tutashughulika nanyi mpaka dhulma iondoke,mnajifanya mna akili kumbe mnapewa mitihani kabla aibu sana,mimi nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anapata one ya 7 kisha anakuja A-level anapitwa hata na aliyepata division 3 maajabu ya musa,hii nchi haiwezi kuendelea kwa mfumo huu wa kupeana alama za bure.Ndalichako wenu tunahasira nae vibaya mno.

Hilo limama halifai kabisa linaendeleza ufisadi wa elimu na huo ndo ufisadi mkubwa sana kuliko hata ule wa mali mbinu za wakoloni walizotumia ni hizo za kuwadhoofisha watu kielimu ili wawatawale lakini kwa dunia ya leo tutapambana nao tu
 
Hivi jamani katika idadi ya watu duniani jinsia gani ni wengi?maana watu wanashidwa kuelewa.kutokana na idadi ya wanawake tanzania,ofisi nyingi wafanyakazi ni wanawake,nenda mahotelini,nenda sokoni n.k
vivyo hivyo kutokana na idadi kubwa kujua umuhimu wa elimu zote mapema yaani ya kiimani na kidunia ndio maana wakristu ni wengi sana maofisini,wenzetu waliegemea sana madrasa na ukitaka kuamini angalia idadi ya watu wa pwani ni kiasi walihudhuria shule ukifananisha na watu wa kanda ya ziwa,kaskazini n.k

hivi leo misri wakristu wanaweza kusema wanaonewa ilhali asilimia kubwa wamisri ni waislam?
 
Hongera sana kwa sera yako ya kufelishwa mashuleni kwani haina tija hata kidogo nyie waislamu hamtaki kusoma kazi yenu ni kucheza bongo video/Movie( kajala, aunty, wema, muhamud) na kuimba miziki ( Diamond, Sharo millionear,Glly wa rymes, Mwana FA) kufanya uhuni na hata kueneza fujo sasa unavyo ona na haya yote mtasoma saa ngai mbona waislamu wanaosoma kaitka shule za kikristo wanafaulu vizuri?? haswa waislamu wote waliosoma marian girls wamefanya vizuri ila wanaosoma Islamic seminary wanafeli hii ni kutokana na kwamba badala ya kuwahamasisha wasome wanawambia wapiganie dini ndoo maana wana feli tena msipo angalia na kuchukua hatua mtafeli mpaka mkome
 
Nani anayejua idadi halisi ya waislam na wakristu ndani ya cdm,ccm,cuf,nccr,tlp n.k usije ukasema kitu bila kutambua, mf. Rais wetu mwislam,makam mwislam,mkuu wa polisi mwislam n.k mbona wakristu wamekaa kimya, ila tabu ni imani ya dhehebu husika ndio inayoona unaonewa.
We unaishi ulimwengu upi una uhakika wakristu wamekaa kimya hujui viongozi wenu ndo walikuwa wanaibeba ccm siku zote na leo hii wanajikweza cdm baada ya kuona kuwa jamaa hafuati matakwa yao huoni hata ww unalalamika unawaona hao lakini humuoni waziri mkuu,mkuu wa majeshi,waziri wa mambo ya nje makatibu wakuu kibao nk yaani hawa wagala tatizo lao wanataka vyeo vyote wawe wao tu utafikiri ninyi mna hati miliki ya nchi
 
kwenye mchakato wa katiba mpya tupendekeze kufuta mapumuziko siku zote ziwe za kazi ila kila mtu akaabudu katika siku yake kwa ruhusa toka kazini kwake.
 
Question, kwanini wizara na mashirika nyeti yamejaa waislam tu?
 
Hongera sana kwa sera yako ya kufelishwa mashuleni kwani haina tija hata kidogo nyie waislamu hamtaki kusoma kazi yenu ni kucheza bongo video/Movie( kajala, aunty, wema, muhamud) na kuimba miziki ( Diamond, Sharo millionear,Glly wa rymes, Mwana FA) kufanya uhuni na hata kueneza fujo sasa unavyo ona na haya yote mtasoma saa ngai mbona waislamu wanaosoma kaitka shule za kikristo wanafaulu vizuri?? haswa waislamu wote waliosoma marian girls wamefanya vizuri ila wanaosoma Islamic seminary wanafeli hii ni kutokana na kwamba badala ya kuwahamasisha wasome wanawambia wapiganie dini ndoo maana wana feli tena msipo angalia na kuchukua hatua mtafeli mpaka mkome
Hao wakina marian girls hakuna kitu ni mbinu zenu za kumtumia ndalichako kuua shule za serikali na kupandisha chati shule zenu mbona wakija vyuoni tunabanana nao na wengi ni vilaza tu wanafaulu kwa rushwa za ngono kwa marecturer?
 
Ni kwakuwa waislam ni waadilifu kiasi furani hawana ufisadi wa kutisha
 
Ni kwakuwa waislam ni waadilifu kiasi furani hawana ufisadi wa kutisha

kiongozi wenu mwenyewe (jk) kasoma seminary,makamba kasoma seminary, kama nyie mngekuwa vichwa msingekuja kwetu na pia mngekuwa na seminary tokea enzi hizo, sisi hatuna ubaguzi ila wenzetu mtoto wa kikristu haruhusiwi kusoma kwao
 
Hongera sana kwa sera yako ya kufelishwa mashuleni kwani haina tija hata kidogo nyie waislamu hamtaki kusoma kazi yenu ni kucheza bongo video/Movie( kajala, aunty, wema, muhamud) na kuimba miziki ( Diamond, Sharo millionear,Glly wa rymes, Mwana FA) kufanya uhuni na hata kueneza fujo sasa unavyo ona na haya yote mtasoma saa ngai mbona waislamu wanaosoma kaitka shule za kikristo wanafaulu vizuri?? haswa waislamu wote waliosoma marian girls wamefanya vizuri ila wanaosoma Islamic seminary wanafeli hii ni kutokana na kwamba badala ya kuwahamasisha wasome wanawambia wapiganie dini ndoo maana wana feli tena msipo angalia na kuchukua hatua mtafeli mpaka mkome

Tena washukuru Mungu sana Kanisa Katoliki limeruhusu hata dini zingine apart from Catholic wajoin na shule za kanisa.
Badala waende waige jinsi kanisa Katoliki linavyo endesha shule zake.
 
Udini upo na engineer wake ni Kikwete!.Nenda NSSF, UDOM...

Hapo hakuna ubishi na ARCHITECT wa yote hayo ni mkweree mwenyewe bila aibu!! Alivyokuwa kilaza anafikiri watu hawajui kuwa kuna mkono wake humo!!
 
Janja yenu ya kuwafelisha waislam na wakala wenu baraza la mitihani tumeshalijua,sasa tutashughulika nanyi mpaka dhulma iondoke,mnajifanya mna akili kumbe mnapewa mitihani kabla aibu sana,mimi nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anapata one ya 7 kisha anakuja A-level anapitwa hata na aliyepata division 3 maajabu ya musa,hii nchi haiwezi kuendelea kwa mfumo huu wa kupeana alama za bure.Ndalichako wenu tunahasira nae vibaya mno.

soma kwa bidii, acha visingizio na uchochezi. Kweli we kichwa kibovu. Mtabaki kulala mika na udini na kushindwa kuwa shauri wadogo zenu wasome kwa bidii,watabuluzwa tu kila mwaka kwenye matokeo. Kafanyie scan kichwa chako, me nina wadogo zangu waislam na wamefaulu vizuri, umeshindwa kutimiza wajibu wako kichwa kibovu. Wewe mwenyewe unajijua kichwa kibovu alaf unategemea wadogo zako wafaulu?.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom