Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Je,unadhani huu utulivu uliopo nchini(na kamwe si amani) kwa karibu nusu karne sasa umetusaidia sisi watanzania hasa ukizingatia uchumi tulionao ukilinganisha na maliasili za nchi?
Je,unadhani utulivu huu ni faida kwa mtanzania wa kawaida au ni faida kwa watawala?
Je,unadhani utulivu huu utaendelea kudumu kwa miaka mingine 50?
Kwa mtazamo wako,je utulivu huu ukitoweka wakulaumiwa ni watawala au mtanzania wa kawaida?
Je,si kweli kuwa walioko mstari wa mbele kuhubiri amani ndio hao hao vinara wa kuvuruga amani?
Hivi mlala hoi huwa anachakupoteza amani inapotoweka?
Naombeni majibu.
Je,unadhani utulivu huu ni faida kwa mtanzania wa kawaida au ni faida kwa watawala?
Je,unadhani utulivu huu utaendelea kudumu kwa miaka mingine 50?
Kwa mtazamo wako,je utulivu huu ukitoweka wakulaumiwa ni watawala au mtanzania wa kawaida?
Je,si kweli kuwa walioko mstari wa mbele kuhubiri amani ndio hao hao vinara wa kuvuruga amani?
Hivi mlala hoi huwa anachakupoteza amani inapotoweka?
Naombeni majibu.